Recent content by batajike

  1. B

    MSD ndo chanzo cha vituo vya kutolea huduma za afya kukosa dawa

    Mfamasia wa Tanga kwanza nikupongeze kwa majibu yako ya kizalendo. Pili nadhani umejionea mwenyewe huyu aliyeleta taarifa kaingia mitini hasemi jina la kituo chake ili MSD wakihudumie nahisi alikuwa katumwa kuichafua taasisi ya watu sasa anashindwa kusema... nadhani itakuwa vema wananchi...
  2. B

    MSD ndo chanzo cha vituo vya kutolea huduma za afya kukosa dawa

    hawezi kuandika details zote hizo kwa kukurupuka ATAJE kituo tuuu hilo lalamiko lishughulikiwe kwani anaona shida gani kutaja anaficha nini yeye si ameandika ili apate suluhisho la shida ya wananchi? au kaandika kuiabisha MSD?
  3. B

    MSD ndo chanzo cha vituo vya kutolea huduma za afya kukosa dawa

    Kweli kabisa AKITAJE kituo kama kweli ana nia ya kuokoa maisha ya wananchi... wakuu na watendaji wa taasisi zote nchini siku hizi wanafuatilia mitandao ya jamii akitaja tuu jina la kituo huduma inapelekwa fasta maneno maneno marefu yanakatika na Mungu aliyemsukuma kuandika humu atambariki milele...
  4. B

    MSD ndo chanzo cha vituo vya kutolea huduma za afya kukosa dawa

    Yaani nakuona unajizungusha tuu na maneno mengi unatoa data aambazo hutaweza kuhudumiwa na kutatua tatizo la wananchi unaodai unawawasilisha. TAJA JINA LA KITUO HICHO ili uwawezeshe MSD kutatua hilo tatizo ulilosema kama sio majungu TAJA JINA.
  5. B

    Tanzia: Muigizaji Rachel Haule afariki dunia

    Huna lolote wewe unatafuta bwana... Eti ng'ong'o zilipendwa wangu
  6. B

    Makamu wa Rais Dk. Bilal, Afande Kova, Mkuu wa Mkoa wa Dar na Dk. Magufuli wanusurika ajali ya helikopta

    Mimi namjua ni mzee wa malienge kamanda mpenda kamera... Sijui kwanini hakukaa kwenye tukio kungoja TV stesheni zije aongee
  7. B

    Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV

    kwa namna ulivyojitahidi kumtetea inaonekana mpo katika status moja na wewe huenda nichapombe na mzugaji kama yeye. jamaa anahitaji msaada sio mtu wa kumtetea kwa ulivyoandika hapa wote mpo kwenye denial stage. jamaa kachoka na anakimbia watu wote wa maana, atajohook na mtu anaetaka kumtapeli na...
  8. B

    Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV

    huyu mtu nimemuona zaidi ya mara tano mahali kwenye ofisi ya umma, ana makovu kama mtu alienguka na pikipiki, amechakaaa, ananuka pombe, na inasadikiwa ni mwandishi kanjanja.
  9. B

    TANZIA Dr. Sengondo Mvungi afariki Dunia

    for ow long will this on? and they get away with murder...!!! nawashauri wamama wakazane kuzaa akina Mvungi wengine mpaka kileweke
  10. B

    A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

    Duuu Praise the Lord manake tupo very nervous kujua hali yake!!!
  11. B

    A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

    Hivi wewe unafiki kwa kutumia nini? matope? unaona watumie njia gani kuifanya serikali iwajibike? sina haja ya kurudia madai yao hapa hata mtoto alieko tumboni anayajua... na yanaweza kumalizwa kwa serikali yako kuingia mikataba yenye akili na kuboresha maisha ya watanzania na INAWEZEKANA kama...
  12. B

    A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

    je una taarifa za hali ya Dr. ulimboka?
  13. B

    Wasifu wa Elimu wa Dr. Mary Mwanjelwa

    hivi wewe unaona nani anauonea onge huyu mama kwa hio CV isiyoeleweka haina muunganiko imejaa gaps ambazo hazina maelezo... tatizo la watu wengi anataka walale waamke wakiwa maDr. mapROF NK. HAYO MAMBO HAYAJI KWA KUFUMBA NA KUFUMBUA maisha ni a proces na lazima uyafanyie kazi kuweza kujustify...
  14. B

    Kumlazimisha Nassari kuomba radhi ni bora zaidi kuliko kumtetea!

    mchuzi wa bata nakubaliana na ushauri uliotoa ila sura yako mmmmhhh
  15. B

    Kitine: Kuna waziri ameiba fedha za nchi huko nje ametia mfukoni mwake kutafutia urais

    hilo jengo l hoteli kila mtu mtwara pakamuza nyanya sokoni anajua ni la membe japo vibao vya mkandarasi vina jina bosheni kma kawaida yao...
Back
Top Bottom