Nimecheka mpaka nikadondosha mnofu wa kuku wa kienyeji, hakika umentia hasara[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Ndugu mleta mada, tuwe wawazi tu kwamba lengo lako kufanikiwa hapa bongo lipe 0.0000001%.
Ila cha kukushauri, veta dar wanatengeneza magari ya gesi (walionesha sabasaba) . Kama...
Ununuzi wa hisa wa kusubiri gawio la mwaka ni biashara kichaa, lakini kama ananunua anasubiri bei imeongezeka hata 20 anauza, then anasubiri ishuke ananunua na kuuza ikipanda huyo mtu atapata faida kubwa tu
Pole sana, ila hapo ni bahati mbaya kwa kupata gari bovu. Ungepata safi na biashara ikachanganya usingejuta.
Kiukweli kuna mkopo mzuri unaokulipa na kujilipa wenyewe na kuna mkopo mbaya unaokufilisi.
Usichoke kwenda bank kama umeona fursa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.