Recent content by bariki philip

  1. B

    Tanzania opposes AU intervention force in Burundi, pushes 'political solution'

    Nimepata mambo mapya hapa...nadhan tukijadiliana kwa namna hii tutafika mbali sana....Lakini mbona naona...mizigo mingi sana ya kwenda congo DRC kutoka bandarini inapita mpaka wa rusumo.....ambao uko Rwanda....kati ya border ambayo imepooza sana ni border ya Kabanga iliyopo wilayani...
  2. B

    Uongozi wa Magufuli utakuwa mbaya sana, ashauriwe haraka

    Magufuli ni kiongozi bora toka tanzania iwepo...ukimtoa baba wa taifa......watu walizoea kuchuma tu...keki ya taifa peke yao. Lakini hapa tulipifikia big up magufuli ndani ya miezi miwili tu tayari heshima ya serikali imerudi....hatutaki tena....uongozi wa kipuuzi kama uliopita wa kulindana...
  3. B

    Orodha ya Majimbo ambayo CCM wameyapoteza mpaka sasa

    sengerema ccm wameshinda
  4. B

    Ardhi University(ARU) - Special Thread

    Hongereni vijana kwa kuchaguliwa chuo..niliwahi kusoma chuo hiko...muda kidogo umepita...but it is the best university offering land related subject in Tanzania......am proud
  5. B

    Ngome kuu za UKAWA hizi hapa, CCM kushinda urais ni ndoto za mchana

    Fikira finyu....ukisema kwamba uchaguzi wa mwaka huu hauna ushindani
  6. B

    Lowassa wapambe wako wanazidi kukuharibia badala ya kukusaidia

    Watanzania hata jiwe watalipigia kura but sio ccm....
  7. B

    Star TV mjutie na mjifunze

    Rest in peace..mropokaji
  8. B

    Orodha ya kauli za wanaccm kwa mh. Lowassa

    rest in peace...mtikila...
  9. B

    CCM wanaweza kuyasimamia mabadiliko kwa vitendo

    labda kama ni ccm nisiyoifahamu...lakini kwa ccm ambayo unaizungumzia hakuna mabadiliko hapo...just wait and see
  10. B

    GE2015 Magufuli atashinda lakini mabadiliko hayaepukiki

    Magufuli hawezi kuleta mabadiliko ndani ya ccm....he is best kama angekuwa nje...akiingia hapo atafanya kazi ya kulinda maslahi ya waliomtangulia.....no such a thing.....amkeni nyie
  11. B

    Azam Tv kurusha Mkutano wa Lowassa

    Naona uwezo wetu wa kufikiri unatofautiana saana.......CCM is dead
  12. B

    Mwembeyanga ni gharika, ni kwenye mkutano wa mgombea Urais wa CHADEMA, Lowassa

    sidhani kama bado kuna watanzania wanaoamini kwamba ccm ikiendelea kuwepo watapata...mabadiliko......kiukweli...tubadilishe mfumo ili na wengine nao waonyeshe uwezo wao....hii nchii sio ya chama kimoja...ni nchi ya vyama vingi. kama walikubali mfumo wa vyama vingi uwepo basi hata mabadiliko...
Back
Top Bottom