CCM wanaweza kuyasimamia mabadiliko kwa vitendo

CCM wanaweza kuyasimamia mabadiliko kwa vitendo

Joined
Sep 5, 2015
Posts
80
Reaction score
73
Chama Cha Mapinduzi Kinahubiri na Kutekeleza mabadiliko kwa vitendo ili kuboresha hali ya maisha ya Watanzania. Kubwa serikali yake imeendelea kuilinda na kuidumisha misingi ya umoja, amani na utulivu tuliyoachiwa na waasisi ambayo ndiyo chachu ya maendeleo yetu. CCM kupitia serikali zake wamepanua wigo wa upatikanaji wa elimu kuanzia msingi hadi chuo kikuu kwa kuongeza miundombinu yake. Changamoto kubwa iliyopo ni kukabiliana na uboreshaji wa mazingira ya kitaaluma kuanzia msingi hadi chuo kikuu, kuboresha maslahi ya walimu na mazingira yao ya kazi ili wafundishe kwa ari zaidi.


CCM pia kupitia serikali zake imefanikiwa sana kuimarisha miundombinu ya barabara, viwanja vya ndege na usafiri wa majini ili kurahisisha shughuli za kibiashara ufuatiliaji wa huduma muhimu na watanzania. Wamejenga madaraja na kurahisisha usafiri kwa watanzania kama vile ujenzi wa daraja la mkapa, daraja la malagarasi, daraja la kigamboni, daraja la mbutu, daraja la kilombero n.k.

CCM vile vile imejitahidi kuwekeza kwenye nishati mbadala ili kuliwezesha taifa kupata umeme wa uhakika utakaoruhusu uwekezaji wa uchumi wa viwanda kama ambavyo tumeanza kujionea kule Mtwara kwa kukamilika kwa kiwanda kikubwa cha saruji afrika mashariki na kati na cha tatu kwa ukubwa kusini mwa jangwa la sahara kiwanda cha Dangote. Upatikanaji huu wa nishati ya uhakika na gharama nafuu utachochea wananchi wengi zaidi kujiajiri
Chama Cha Mapinduzi Kinahubiri na Kutekeleza mabadiliko kwa vitendo ili kuboresha hali ya maisha ya Watanzania. CCM kupitia serikali zake wamepanua wigo wa upatikanaji wa elimu kuanzia msingi hadi chuo kikuu kwa kuongeza miundombinu yake. Changamoto kubwa iliyopo ni kukabiliana na uboreshaji wa mazingira ya kitaaluma kuanzia msingi hadi chuo kikuu, kuboresha maslahi ya walimu na mazingira yao ya kazi ili wafundishe kwa ari zaidi.

CCM pia kupitia serikali zake imefanikiwa sana kuimarisha miundombinu ya barabara, viwanja vya ndege na usafiri wa majini ili kurahisisha shughuli za kibiashara ufuatiliaji wa huduma muhimu na watanzania. Wamejenga madaraja na kurahisisha usafiri kwa watanzania kama vile ujenzi wa daraja la mkapa, daraja la malagarasi, daraja la kigamboni, daraja la mbutu, daraja la kilombero n.k.

CCM vile vile imejitahidi kuwekeza kwenye nishati mbadala ili kuliwezesha taifa kupata umeme wa uhakika utakaoruhusu uwekezaji wa uchumi wa viwanda kama ambavyo tumeanza kujionea kule Mtwara kwa kukamilika kwa kiwanda kikubwa cha saruji afrika mashariki na kati na cha tatu kwa ukubwa kusini mwa jangwa la sahara kiwanda cha Dangote. Upatikanaji huu wa nishati ya uhakika na gharama nafuu utachochea wananchi wengi zaidi kujiajiri na kupunguza gharama za maisha ya kila siku.

Pamoja na hayo leo ile hadithi ya dada na mama zetu kujifungulia porini na wakunga wa jadi imeanza kuwa historia na kwa baadhi ya maeneo imesahaulika. Huduma ya maji imeendelea kusogezwa karibu kiasi cha watanzania wengi kunufaika na maji safi na salama kwa umbali usiozidi mita 400.

Ni ukweli ulio dhahiri serikali ya Chama Cha Mapinduzi kimefanya mengi katika kuboresha hali yetu ya maisha kiasi kwamba tulivyo leo sivyo tulivyokuwa miaka ya 1960-1990 lakini bado zipo changamoto lukuki za kufanyiwa kazi ili maisha yetu hasa kipato kwa mtu mmoja mmoja,upatikanaji wa huduma bora za afya, umeme vijijini, maji, elimu, mawasiliano, makazi n.k hivyo tunakubali bado tuna safari ndefu ya kujiletea maendeleo zaidi.

Katika mambo yanayoendelea kuifanya CCM kuendelea kuwa chaguo la umma ni utamaduni wake wakujikosoa na kujipanga kuondokana na makosa au kujirekebisha. Tukumbuke hatutaki mabadiliko ya kisiasa bali ya kimaendeleo.
"Rais wa Tanzania anaweza kutoka chama chochote ila Rais bora wa Tanzania hawezi kutoka nje ya CCM." Mwl.Nyerere akasema pia "Kiongozi safi hawezi kutoka nje ya CCM".... Akaja kumaliza "Watanzania wanataka mabadiliko,wasipoyapata ndani ya CCM watayatafuta nje ya CCM, Kama kiongozi waliyemtaka akakataliwa alikuwa na sifa sawa na mwenzake"....LOWASSA hakuwa na sifa sawa na Dk. MAGUFULI. Ukiwaweka kwenye mizani Dk. MAGUFULI anamzidi LOWASSA kwa vigezo vya uadilifu,uchapakazi,ufuatiliaji,misimamo na utendaji. Tusifanye makosa mawazo ya Mwl.Nyerere bado yanaishi.



11999027_1310729235608158_1037713083692122058_n.jpg

TANGA3.jpg

TUKAAMUE PASIPO MIHEMKO OKTOBA 25, 2015.
 

Attachments

  • DODOMA J.jpg
    DODOMA J.jpg
    108.1 KB · Views: 97
  • KAHAMA2.jpg
    KAHAMA2.jpg
    54.1 KB · Views: 96
  • NYOMII.jpg
    NYOMII.jpg
    54.1 KB · Views: 91
Utendaji wa magufuli hauna kasoro wala mashaka katika kufanya maamuzi na kusimamia shughuli za kiutendaji Ndani ya serikali
 
chama cha mapinduzi kinahubiri na kutekeleza mabadiliko kwa vitendo ili kuboresha hali ya maisha ya watanzania. Kubwa serikali yake imeendelea kuilinda na kuidumisha misingi ya umoja, amani na utulivu tuliyoachiwa na waasisi ambayo ndiyo chachu ya maendeleo yetu. Ccm kupitia serikali zake wamepanua wigo wa upatikanaji wa elimu kuanzia msingi hadi chuo kikuu kwa kuongeza miundombinu yake. Changamoto kubwa iliyopo ni kukabiliana na uboreshaji wa mazingira ya kitaaluma kuanzia msingi hadi chuo kikuu, kuboresha maslahi ya walimu na mazingira yao ya kazi ili wafundishe kwa ari zaidi.


Ccm pia kupitia serikali zake imefanikiwa sana kuimarisha miundombinu ya barabara, viwanja vya ndege na usafiri wa majini ili kurahisisha shughuli za kibiashara ufuatiliaji wa huduma muhimu na watanzania. Wamejenga madaraja na kurahisisha usafiri kwa watanzania kama vile ujenzi wa daraja la mkapa, daraja la malagarasi, daraja la kigamboni, daraja la mbutu, daraja la kilombero n.k.

Ccm vile vile imejitahidi kuwekeza kwenye nishati mbadala ili kuliwezesha taifa kupata umeme wa uhakika utakaoruhusu uwekezaji wa uchumi wa viwanda kama ambavyo tumeanza kujionea kule mtwara kwa kukamilika kwa kiwanda kikubwa cha saruji afrika mashariki na kati na cha tatu kwa ukubwa kusini mwa jangwa la sahara kiwanda cha dangote. Upatikanaji huu wa nishati ya uhakika na gharama nafuu utachochea wananchi wengi zaidi kujiajiri
chama cha mapinduzi kinahubiri na kutekeleza mabadiliko kwa vitendo ili kuboresha hali ya maisha ya watanzania. Ccm kupitia serikali zake wamepanua wigo wa upatikanaji wa elimu kuanzia msingi hadi chuo kikuu kwa kuongeza miundombinu yake. Changamoto kubwa iliyopo ni kukabiliana na uboreshaji wa mazingira ya kitaaluma kuanzia msingi hadi chuo kikuu, kuboresha maslahi ya walimu na mazingira yao ya kazi ili wafundishe kwa ari zaidi.

Ccm pia kupitia serikali zake imefanikiwa sana kuimarisha miundombinu ya barabara, viwanja vya ndege na usafiri wa majini ili kurahisisha shughuli za kibiashara ufuatiliaji wa huduma muhimu na watanzania. Wamejenga madaraja na kurahisisha usafiri kwa watanzania kama vile ujenzi wa daraja la mkapa, daraja la malagarasi, daraja la kigamboni, daraja la mbutu, daraja la kilombero n.k.

Ccm vile vile imejitahidi kuwekeza kwenye nishati mbadala ili kuliwezesha taifa kupata umeme wa uhakika utakaoruhusu uwekezaji wa uchumi wa viwanda kama ambavyo tumeanza kujionea kule mtwara kwa kukamilika kwa kiwanda kikubwa cha saruji afrika mashariki na kati na cha tatu kwa ukubwa kusini mwa jangwa la sahara kiwanda cha dangote. Upatikanaji huu wa nishati ya uhakika na gharama nafuu utachochea wananchi wengi zaidi kujiajiri na kupunguza gharama za maisha ya kila siku.

Pamoja na hayo leo ile hadithi ya dada na mama zetu kujifungulia porini na wakunga wa jadi imeanza kuwa historia na kwa baadhi ya maeneo imesahaulika. Huduma ya maji imeendelea kusogezwa karibu kiasi cha watanzania wengi kunufaika na maji safi na salama kwa umbali usiozidi mita 400.

Ni ukweli ulio dhahiri serikali ya chama cha mapinduzi kimefanya mengi katika kuboresha hali yetu ya maisha kiasi kwamba tulivyo leo sivyo tulivyokuwa miaka ya 1960-1990 lakini bado zipo changamoto lukuki za kufanyiwa kazi ili maisha yetu hasa kipato kwa mtu mmoja mmoja,upatikanaji wa huduma bora za afya, umeme vijijini, maji, elimu, mawasiliano, makazi n.k hivyo tunakubali bado tuna safari ndefu ya kujiletea maendeleo zaidi.

Katika mambo yanayoendelea kuifanya ccm kuendelea kuwa chaguo la umma ni utamaduni wake wakujikosoa na kujipanga kuondokana na makosa au kujirekebisha. Tukumbuke hatutaki mabadiliko ya kisiasa bali ya kimaendeleo.
"rais wa tanzania anaweza kutoka chama chochote ila rais bora wa tanzania hawezi kutoka nje ya ccm." mwl.nyerere akasema pia "kiongozi safi hawezi kutoka nje ya ccm".... Akaja kumaliza "watanzania wanataka mabadiliko,wasipoyapata ndani ya ccm watayatafuta nje ya ccm, kama kiongozi waliyemtaka akakataliwa alikuwa na sifa sawa na mwenzake"....lowassa hakuwa na sifa sawa na dk. Magufuli. Ukiwaweka kwenye mizani dk. Magufuli anamzidi lowassa kwa vigezo vya uadilifu,uchapakazi,ufuatiliaji,misimamo na utendaji. Tusifanye makosa mawazo ya mwl.nyerere bado yanaishi.



View attachment 293476

View attachment 293480

tukaamue pasipo mihemko oktoba 25, 2015.

tanzania hakuna wajinga kama wewe hayo mabadiliko ya nini wakati mmekuwa mkijisifia kwamba serikali yenu imefanya mambo makubwa sana na kuleta maendeleo? Wewe unafurahia mateso ya watanzania huku ninyi na wajomba zenu mkiishi peponi. Ccm italetaje mabadiliko kama imeshindwa miaka yote? Usilete tena huo ujinga wako hapa
 
Chama Cha Mapinduzi Kinahubiri na Kutekeleza mabadiliko kwa vitendo ili kuboresha hali ya maisha ya Watanzania. Kubwa serikali yake imeendelea kuilinda na kuidumisha misingi ya umoja, amani na utulivu tuliyoachiwa na waasisi ambayo ndiyo chachu ya maendeleo yetu. CCM kupitia serikali zake wamepanua wigo wa upatikanaji wa elimu kuanzia msingi hadi chuo kikuu kwa kuongeza miundombinu yake. Changamoto kubwa iliyopo ni kukabiliana na uboreshaji wa mazingira ya kitaaluma kuanzia msingi hadi chuo kikuu, kuboresha maslahi ya walimu na mazingira yao ya kazi ili wafundishe kwa ari zaidi.


CCM pia kupitia serikali zake imefanikiwa sana kuimarisha miundombinu ya barabara, viwanja vya ndege na usafiri wa majini ili kurahisisha shughuli za kibiashara ufuatiliaji wa huduma muhimu na watanzania. Wamejenga madaraja na kurahisisha usafiri kwa watanzania kama vile ujenzi wa daraja la mkapa, daraja la malagarasi, daraja la kigamboni, daraja la mbutu, daraja la kilombero n.k.

CCM vile vile imejitahidi kuwekeza kwenye nishati mbadala ili kuliwezesha taifa kupata umeme wa uhakika utakaoruhusu uwekezaji wa uchumi wa viwanda kama ambavyo tumeanza kujionea kule Mtwara kwa kukamilika kwa kiwanda kikubwa cha saruji afrika mashariki na kati na cha tatu kwa ukubwa kusini mwa jangwa la sahara kiwanda cha Dangote. Upatikanaji huu wa nishati ya uhakika na gharama nafuu utachochea wananchi wengi zaidi kujiajiri
Chama Cha Mapinduzi Kinahubiri na Kutekeleza mabadiliko kwa vitendo ili kuboresha hali ya maisha ya Watanzania. CCM kupitia serikali zake wamepanua wigo wa upatikanaji wa elimu kuanzia msingi hadi chuo kikuu kwa kuongeza miundombinu yake. Changamoto kubwa iliyopo ni kukabiliana na uboreshaji wa mazingira ya kitaaluma kuanzia msingi hadi chuo kikuu, kuboresha maslahi ya walimu na mazingira yao ya kazi ili wafundishe kwa ari zaidi.

CCM pia kupitia serikali zake imefanikiwa sana kuimarisha miundombinu ya barabara, viwanja vya ndege na usafiri wa majini ili kurahisisha shughuli za kibiashara ufuatiliaji wa huduma muhimu na watanzania. Wamejenga madaraja na kurahisisha usafiri kwa watanzania kama vile ujenzi wa daraja la mkapa, daraja la malagarasi, daraja la kigamboni, daraja la mbutu, daraja la kilombero n.k.

CCM vile vile imejitahidi kuwekeza kwenye nishati mbadala ili kuliwezesha taifa kupata umeme wa uhakika utakaoruhusu uwekezaji wa uchumi wa viwanda kama ambavyo tumeanza kujionea kule Mtwara kwa kukamilika kwa kiwanda kikubwa cha saruji afrika mashariki na kati na cha tatu kwa ukubwa kusini mwa jangwa la sahara kiwanda cha Dangote. Upatikanaji huu wa nishati ya uhakika na gharama nafuu utachochea wananchi wengi zaidi kujiajiri na kupunguza gharama za maisha ya kila siku.

Pamoja na hayo leo ile hadithi ya dada na mama zetu kujifungulia porini na wakunga wa jadi imeanza kuwa historia na kwa baadhi ya maeneo imesahaulika. Huduma ya maji imeendelea kusogezwa karibu kiasi cha watanzania wengi kunufaika na maji safi na salama kwa umbali usiozidi mita 400.

Ni ukweli ulio dhahiri serikali ya Chama Cha Mapinduzi kimefanya mengi katika kuboresha hali yetu ya maisha kiasi kwamba tulivyo leo sivyo tulivyokuwa miaka ya 1960-1990 lakini bado zipo changamoto lukuki za kufanyiwa kazi ili maisha yetu hasa kipato kwa mtu mmoja mmoja,upatikanaji wa huduma bora za afya, umeme vijijini, maji, elimu, mawasiliano, makazi n.k hivyo tunakubali bado tuna safari ndefu ya kujiletea maendeleo zaidi.

Katika mambo yanayoendelea kuifanya CCM kuendelea kuwa chaguo la umma ni utamaduni wake wakujikosoa na kujipanga kuondokana na makosa au kujirekebisha. Tukumbuke hatutaki mabadiliko ya kisiasa bali ya kimaendeleo.
"Rais wa Tanzania anaweza kutoka chama chochote ila Rais bora wa Tanzania hawezi kutoka nje ya CCM." Mwl.Nyerere akasema pia "Kiongozi safi hawezi kutoka nje ya CCM".... Akaja kumaliza "Watanzania wanataka mabadiliko,wasipoyapata ndani ya CCM watayatafuta nje ya CCM, Kama kiongozi waliyemtaka akakataliwa alikuwa na sifa sawa na mwenzake"....LOWASSA hakuwa na sifa sawa na Dk. MAGUFULI. Ukiwaweka kwenye mizani Dk. MAGUFULI anamzidi LOWASSA kwa vigezo vya uadilifu,uchapakazi,ufuatiliaji,misimamo na utendaji. Tusifanye makosa mawazo ya Mwl.Nyerere bado yanaishi.



View attachment 293476

View attachment 293480

TUKAAMUE PASIPO MIHEMKO OKTOBA 25, 2015.
sifa nane (8) za Rais anayestahilivc kuongoza Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufuatia uchaguzi wa
Oktoba 25, 2015. Chaguo la Mungu 2015-2020


Siku ya tarehe 26-09-2015 Askofu wa Kanisa Katoliki ndugu Kilaini alitoa sifa nane za mtu ambaye atakua Rais wa Tanzania katika awamu ya tano chaguo la Mungu.


Yafuatayo ni maono ya Askofu Kilaini ambapo ameainisha sifa nane za Rais anayetosha kutwaa mikoba ya ndugu Jakaya Kikwete nazo ni;


1. Mwadilifu
Amesema nchi yetu ilipofika inahitaji mtu/rais ambaye anao uadilifu wa kweli na wa hali ya juu ili kuleta uongozi uliojaa uadilifu na nidhamu katika kuhakikisha kuwa Watanzania wananufaika na kufurahia nchi yao na mambo yake yote.


2. Uchapa kazi kwa vitendo.
Nchi hii inazo rasilimali za kutosha ambapo zikitumika vyema watanzania watanufaika na maisha yao yatakuwa pazuri sana
zaidi ya sasa hivi. Ili kuhakikisha hayo ni lazima tupate kiongozi mchapa kazi kwa vitendo na hata tukimuuliza umefanya nini anao
uwezo wa kutuambia nimefanya hili na lile.


3. Mtekeleza majukumu yake ipasavyo.
Kiongozi ambaye atakuwa amiri jeshi mkuu wa Tanzania anapaswa kuwa ni mtekeleza majukumu anayopewa na yanayomhusu ipasanyo, kama umekabidhiwa jambo unalifanya kwa ukamilifu wake.
Hivyo Tanzania ya sasa haihitaji tena wajanjajanja ambao wanachekea watu huku hakuna utekelezaji wa majukumu yao ipasavyo.


4. Mzalendo
Hakuna maendeleo tuyatakayo hapa nchini kwa sababu viongozi wetu wengi sio wazalendo wa kweli, wanayoyasema hawayaishi, wanayoyaahidi hawayatekelezi kisawasawa. Hivyo basi 2015-2020 inahitaji mzalendo wa kweli na naamini mpaka sasa tumeona nani mzalendo anayezungumza kwa ukali na umakini kuwa atawasaidia Watanzania na atapambana na ufisadi, wezi na kushughulika na wabadhilifu wa mali na uchumi wa nchi.


5.Mcha Mungu
Katika utumishi uliotukuka na katika utumishi uliojaa haki na utawala makini na bora ni lazima tupate rais ambaye anayo hofu ya Mungu na ni mcha munngu kabisa, tumepata kuwa na viongozi ambao hawana utii kwa Mungu na wakaharibu utumishi. Mwaka huu watu wanaoigiza kuwa ni wacha Mungu wanapaswa kukataliwa kabisa na kuwapa kura watu wanaoonekana kuwa na hofu ya Mungu.


6.Mpenda watu
Kupendwa na watu pia ni sifa muhimu sana, ila uwe unapendwa sio
kwa sababu unawapa rushwa, sio kwa sababu uliwaandaa muda mrefu wakupende, sio wakupende kwa sababu umewafanya watamani kumkomesha mtu au chama fulani. Iwe wanakupenda kwa sababu ni mtendaji wa kazi, kwa sababu unachukia wezi, mafisadi, uwe wanakupenda kwa sababu hupendi mchezo katika kazi, iwe wanakupenda kwa sababu ya uzalendo wako. Nawe pia uwe unawapenda kwa sababu unayapenda maendeleo yao na uwe unawapenda kwa kuwatendea kazi ipasavyo na sio kuwaibia mali zao.


7. Asiwe boss kwa wananchi
Rais ajaye hapaswi kuwa boss/meneja wa wananchi wake. Hii ni tabia chafu kwa rais kuwa au kujifanya boss au meneja wa taifa zima. Bali rais anapaswa awe mtumishi wa watu, achukue muda wake mwingi kuwazungukia wananchi katika maeneo yao kukagua shughuli za maendeleo na kushiriki pia, hivyo lazima uwe mkakamavu wa mwili na akili .


8.Ujasiri wa kuwakemea wasio waadilifu
Rais wa Tanzania 2015-2020 anapaswa kwa nguvu zote awe mjasiri wa kukemea na kuwaonya hata kuwachukulia hatua viongozi na Watanzania wasio waadilifu. Ni lazima afanye hivyo kwa lengo la kujenga nchi yetu katika hali ya uadilifu ili kuimarisha umoja, mshikamano, na ushirikiano hata usawa na haki. na tayari
mmeshaona kiongozi mwenye ujasiri wa kufanya hivyo, na hata nayekerwa na wasio waadilifu.


Kwa kuzingatia hayo tutakuwa tumepata kiongozi chaguo la Mungu 2015-2020, na lazima tutampata.
 
tanzania hakuna wajinga kama wewe hayo mabadiliko ya nini wakati mmekuwa mkijisifia kwamba serikali yenu imefanya mambo makubwa sana na kuleta maendeleo? Wewe unafurahia mateso ya watanzania huku ninyi na wajomba zenu mkiishi peponi. Ccm italetaje mabadiliko kama imeshindwa miaka yote? Usilete tena huo ujinga wako hapa
sifa nane (8) za Rais anayestahilivc kuongoza Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufuatia uchaguzi wa
Oktoba 25, 2015. Chaguo la Mungu 2015-2020


Siku ya tarehe 26-09-2015 Askofu wa Kanisa Katoliki ndugu Kilaini alitoa sifa nane za mtu ambaye atakua Rais wa Tanzania katika awamu ya tano chaguo la Mungu.


Yafuatayo ni maono ya Askofu Kilaini ambapo ameainisha sifa nane za Rais anayetosha kutwaa mikoba ya ndugu Jakaya Kikwete nazo ni;


1. Mwadilifu
Amesema nchi yetu ilipofika inahitaji mtu/rais ambaye anao uadilifu wa kweli na wa hali ya juu ili kuleta uongozi uliojaa uadilifu na nidhamu katika kuhakikisha kuwa Watanzania wananufaika na kufurahia nchi yao na mambo yake yote.


2. Uchapa kazi kwa vitendo.
Nchi hii inazo rasilimali za kutosha ambapo zikitumika vyema watanzania watanufaika na maisha yao yatakuwa pazuri sana
zaidi ya sasa hivi. Ili kuhakikisha hayo ni lazima tupate kiongozi mchapa kazi kwa vitendo na hata tukimuuliza umefanya nini anao
uwezo wa kutuambia nimefanya hili na lile.


3. Mtekeleza majukumu yake ipasavyo.
Kiongozi ambaye atakuwa amiri jeshi mkuu wa Tanzania anapaswa kuwa ni mtekeleza majukumu anayopewa na yanayomhusu ipasanyo, kama umekabidhiwa jambo unalifanya kwa ukamilifu wake.
Hivyo Tanzania ya sasa haihitaji tena wajanjajanja ambao wanachekea watu huku hakuna utekelezaji wa majukumu yao ipasavyo.


4. Mzalendo
Hakuna maendeleo tuyatakayo hapa nchini kwa sababu viongozi wetu wengi sio wazalendo wa kweli, wanayoyasema hawayaishi, wanayoyaahidi hawayatekelezi kisawasawa. Hivyo basi 2015-2020 inahitaji mzalendo wa kweli na naamini mpaka sasa tumeona nani mzalendo anayezungumza kwa ukali na umakini kuwa atawasaidia Watanzania na atapambana na ufisadi, wezi na kushughulika na wabadhilifu wa mali na uchumi wa nchi.


5.Mcha Mungu
Katika utumishi uliotukuka na katika utumishi uliojaa haki na utawala makini na bora ni lazima tupate rais ambaye anayo hofu ya Mungu na ni mcha munngu kabisa, tumepata kuwa na viongozi ambao hawana utii kwa Mungu na wakaharibu utumishi. Mwaka huu watu wanaoigiza kuwa ni wacha Mungu wanapaswa kukataliwa kabisa na kuwapa kura watu wanaoonekana kuwa na hofu ya Mungu.


6.Mpenda watu
Kupendwa na watu pia ni sifa muhimu sana, ila uwe unapendwa sio
kwa sababu unawapa rushwa, sio kwa sababu uliwaandaa muda mrefu wakupende, sio wakupende kwa sababu umewafanya watamani kumkomesha mtu au chama fulani. Iwe wanakupenda kwa sababu ni mtendaji wa kazi, kwa sababu unachukia wezi, mafisadi, uwe wanakupenda kwa sababu hupendi mchezo katika kazi, iwe wanakupenda kwa sababu ya uzalendo wako. Nawe pia uwe unawapenda kwa sababu unayapenda maendeleo yao na uwe unawapenda kwa kuwatendea kazi ipasavyo na sio kuwaibia mali zao.


7. Asiwe boss kwa wananchi
Rais ajaye hapaswi kuwa boss/meneja wa wananchi wake. Hii ni tabia chafu kwa rais kuwa au kujifanya boss au meneja wa taifa zima. Bali rais anapaswa awe mtumishi wa watu, achukue muda wake mwingi kuwazungukia wananchi katika maeneo yao kukagua shughuli za maendeleo na kushiriki pia, hivyo lazima uwe mkakamavu wa mwili na akili .


8.Ujasiri wa kuwakemea wasio waadilifu
Rais wa Tanzania 2015-2020 anapaswa kwa nguvu zote awe mjasiri wa kukemea na kuwaonya hata kuwachukulia hatua viongozi na Watanzania wasio waadilifu. Ni lazima afanye hivyo kwa lengo la kujenga nchi yetu katika hali ya uadilifu ili kuimarisha umoja, mshikamano, na ushirikiano hata usawa na haki. na tayari
mmeshaona kiongozi mwenye ujasiri wa kufanya hivyo, na hata nayekerwa na wasio waadilifu.


Kwa kuzingatia hayo tutakuwa tumepata kiongozi chaguo la Mungu 2015-2020, na lazima tutampata.
 
Utendaji wa magufuli hauna kasoro wala mashaka katika kufanya maamuzi na kusimamia shughuli za kiutendaji Ndani ya serikali
sifa nane (8) za Rais anayestahilivc kuongoza Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufuatia uchaguzi wa
Oktoba 25, 2015. Chaguo la Mungu 2015-2020


Siku ya tarehe 26-09-2015 Askofu wa Kanisa Katoliki ndugu Kilaini alitoa sifa nane za mtu ambaye atakua Rais wa Tanzania katika awamu ya tano chaguo la Mungu.


Yafuatayo ni maono ya Askofu Kilaini ambapo ameainisha sifa nane za Rais anayetosha kutwaa mikoba ya ndugu Jakaya Kikwete nazo ni;


1. Mwadilifu
Amesema nchi yetu ilipofika inahitaji mtu/rais ambaye anao uadilifu wa kweli na wa hali ya juu ili kuleta uongozi uliojaa uadilifu na nidhamu katika kuhakikisha kuwa Watanzania wananufaika na kufurahia nchi yao na mambo yake yote.


2. Uchapa kazi kwa vitendo.
Nchi hii inazo rasilimali za kutosha ambapo zikitumika vyema watanzania watanufaika na maisha yao yatakuwa pazuri sana
zaidi ya sasa hivi. Ili kuhakikisha hayo ni lazima tupate kiongozi mchapa kazi kwa vitendo na hata tukimuuliza umefanya nini anao
uwezo wa kutuambia nimefanya hili na lile.


3. Mtekeleza majukumu yake ipasavyo.
Kiongozi ambaye atakuwa amiri jeshi mkuu wa Tanzania anapaswa kuwa ni mtekeleza majukumu anayopewa na yanayomhusu ipasanyo, kama umekabidhiwa jambo unalifanya kwa ukamilifu wake.
Hivyo Tanzania ya sasa haihitaji tena wajanjajanja ambao wanachekea watu huku hakuna utekelezaji wa majukumu yao ipasavyo.


4. Mzalendo
Hakuna maendeleo tuyatakayo hapa nchini kwa sababu viongozi wetu wengi sio wazalendo wa kweli, wanayoyasema hawayaishi, wanayoyaahidi hawayatekelezi kisawasawa. Hivyo basi 2015-2020 inahitaji mzalendo wa kweli na naamini mpaka sasa tumeona nani mzalendo anayezungumza kwa ukali na umakini kuwa atawasaidia Watanzania na atapambana na ufisadi, wezi na kushughulika na wabadhilifu wa mali na uchumi wa nchi.


5.Mcha Mungu
Katika utumishi uliotukuka na katika utumishi uliojaa haki na utawala makini na bora ni lazima tupate rais ambaye anayo hofu ya Mungu na ni mcha munngu kabisa, tumepata kuwa na viongozi ambao hawana utii kwa Mungu na wakaharibu utumishi. Mwaka huu watu wanaoigiza kuwa ni wacha Mungu wanapaswa kukataliwa kabisa na kuwapa kura watu wanaoonekana kuwa na hofu ya Mungu.


6.Mpenda watu
Kupendwa na watu pia ni sifa muhimu sana, ila uwe unapendwa sio
kwa sababu unawapa rushwa, sio kwa sababu uliwaandaa muda mrefu wakupende, sio wakupende kwa sababu umewafanya watamani kumkomesha mtu au chama fulani. Iwe wanakupenda kwa sababu ni mtendaji wa kazi, kwa sababu unachukia wezi, mafisadi, uwe wanakupenda kwa sababu hupendi mchezo katika kazi, iwe wanakupenda kwa sababu ya uzalendo wako. Nawe pia uwe unawapenda kwa sababu unayapenda maendeleo yao na uwe unawapenda kwa kuwatendea kazi ipasavyo na sio kuwaibia mali zao.


7. Asiwe boss kwa wananchi
Rais ajaye hapaswi kuwa boss/meneja wa wananchi wake. Hii ni tabia chafu kwa rais kuwa au kujifanya boss au meneja wa taifa zima. Bali rais anapaswa awe mtumishi wa watu, achukue muda wake mwingi kuwazungukia wananchi katika maeneo yao kukagua shughuli za maendeleo na kushiriki pia, hivyo lazima uwe mkakamavu wa mwili na akili .


8.Ujasiri wa kuwakemea wasio waadilifu
Rais wa Tanzania 2015-2020 anapaswa kwa nguvu zote awe mjasiri wa kukemea na kuwaonya hata kuwachukulia hatua viongozi na Watanzania wasio waadilifu. Ni lazima afanye hivyo kwa lengo la kujenga nchi yetu katika hali ya uadilifu ili kuimarisha umoja, mshikamano, na ushirikiano hata usawa na haki. na tayari
mmeshaona kiongozi mwenye ujasiri wa kufanya hivyo, na hata nayekerwa na wasio waadilifu.


Kwa kuzingatia hayo tutakuwa tumepata kiongozi chaguo la Mungu 2015-2020, na lazima tutampata.
 
Wanabadilisha nini
sifa nane (8) za Rais anayestahilivc kuongoza Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufuatia uchaguzi wa
Oktoba 25, 2015. Chaguo la Mungu 2015-2020


Siku ya tarehe 26-09-2015 Askofu wa Kanisa Katoliki ndugu Kilaini alitoa sifa nane za mtu ambaye atakua Rais wa Tanzania katika awamu ya tano chaguo la Mungu.


Yafuatayo ni maono ya Askofu Kilaini ambapo ameainisha sifa nane za Rais anayetosha kutwaa mikoba ya ndugu Jakaya Kikwete nazo ni;


1. Mwadilifu
Amesema nchi yetu ilipofika inahitaji mtu/rais ambaye anao uadilifu wa kweli na wa hali ya juu ili kuleta uongozi uliojaa uadilifu na nidhamu katika kuhakikisha kuwa Watanzania wananufaika na kufurahia nchi yao na mambo yake yote.


2. Uchapa kazi kwa vitendo.
Nchi hii inazo rasilimali za kutosha ambapo zikitumika vyema watanzania watanufaika na maisha yao yatakuwa pazuri sana
zaidi ya sasa hivi. Ili kuhakikisha hayo ni lazima tupate kiongozi mchapa kazi kwa vitendo na hata tukimuuliza umefanya nini anao
uwezo wa kutuambia nimefanya hili na lile.


3. Mtekeleza majukumu yake ipasavyo.
Kiongozi ambaye atakuwa amiri jeshi mkuu wa Tanzania anapaswa kuwa ni mtekeleza majukumu anayopewa na yanayomhusu ipasanyo, kama umekabidhiwa jambo unalifanya kwa ukamilifu wake.
Hivyo Tanzania ya sasa haihitaji tena wajanjajanja ambao wanachekea watu huku hakuna utekelezaji wa majukumu yao ipasavyo.


4. Mzalendo
Hakuna maendeleo tuyatakayo hapa nchini kwa sababu viongozi wetu wengi sio wazalendo wa kweli, wanayoyasema hawayaishi, wanayoyaahidi hawayatekelezi kisawasawa. Hivyo basi 2015-2020 inahitaji mzalendo wa kweli na naamini mpaka sasa tumeona nani mzalendo anayezungumza kwa ukali na umakini kuwa atawasaidia Watanzania na atapambana na ufisadi, wezi na kushughulika na wabadhilifu wa mali na uchumi wa nchi.


5.Mcha Mungu
Katika utumishi uliotukuka na katika utumishi uliojaa haki na utawala makini na bora ni lazima tupate rais ambaye anayo hofu ya Mungu na ni mcha munngu kabisa, tumepata kuwa na viongozi ambao hawana utii kwa Mungu na wakaharibu utumishi. Mwaka huu watu wanaoigiza kuwa ni wacha Mungu wanapaswa kukataliwa kabisa na kuwapa kura watu wanaoonekana kuwa na hofu ya Mungu.


6.Mpenda watu
Kupendwa na watu pia ni sifa muhimu sana, ila uwe unapendwa sio
kwa sababu unawapa rushwa, sio kwa sababu uliwaandaa muda mrefu wakupende, sio wakupende kwa sababu umewafanya watamani kumkomesha mtu au chama fulani. Iwe wanakupenda kwa sababu ni mtendaji wa kazi, kwa sababu unachukia wezi, mafisadi, uwe wanakupenda kwa sababu hupendi mchezo katika kazi, iwe wanakupenda kwa sababu ya uzalendo wako. Nawe pia uwe unawapenda kwa sababu unayapenda maendeleo yao na uwe unawapenda kwa kuwatendea kazi ipasavyo na sio kuwaibia mali zao.


7. Asiwe boss kwa wananchi
Rais ajaye hapaswi kuwa boss/meneja wa wananchi wake. Hii ni tabia chafu kwa rais kuwa au kujifanya boss au meneja wa taifa zima. Bali rais anapaswa awe mtumishi wa watu, achukue muda wake mwingi kuwazungukia wananchi katika maeneo yao kukagua shughuli za maendeleo na kushiriki pia, hivyo lazima uwe mkakamavu wa mwili na akili .


8.Ujasiri wa kuwakemea wasio waadilifu
Rais wa Tanzania 2015-2020 anapaswa kwa nguvu zote awe mjasiri wa kukemea na kuwaonya hata kuwachukulia hatua viongozi na Watanzania wasio waadilifu. Ni lazima afanye hivyo kwa lengo la kujenga nchi yetu katika hali ya uadilifu ili kuimarisha umoja, mshikamano, na ushirikiano hata usawa na haki. na tayari
mmeshaona kiongozi mwenye ujasiri wa kufanya hivyo, na hata nayekerwa na wasio waadilifu.


Kwa kuzingatia hayo tutakuwa tumepata kiongozi chaguo la Mungu 2015-2020, na lazima tutampata.
 
Mabadiliko ya kung'oa Kucha wenye kukataa ujinga wa CCM kama Dr Ulimboka? au Mabadiliko ya Kuua Raia wasiokuwa na hatia kama Daud Mwangosi? au Mabadiliko ya kuwawekea watu polonium kama Lowassa na Mrema? Operesheni Vua Gamba iliishia wapi? Mabadiliko ya kuuza Nyumba za Serikali, kuuza migodi, gas kwa bei chee yanamnufaisha nani za ya akina Nape na mzee wa Meremeta Warioba ? ... UFISADI wa CCM hausafishiki labda kwa wehu tu ...
 
tanzania hakuna wajinga kama wewe hayo mabadiliko ya nini wakati mmekuwa mkijisifia kwamba serikali yenu imefanya mambo makubwa sana na kuleta maendeleo? Wewe unafurahia mateso ya watanzania huku ninyi na wajomba zenu mkiishi peponi. Ccm italetaje mabadiliko kama imeshindwa miaka yote? Usilete tena huo ujinga wako hapa

Wameanza lini mabadiriko? na mabadiriko kutoka wapi? hawa ni wezi wa ilani.... wanataka kunata na biti...
 
Chama Cha Mapinduzi Kinahubiri na Kutekeleza mabadiliko kwa vitendo ili kuboresha hali ya maisha ya Watanzania. Kubwa serikali yake imeendelea kuilinda na kuidumisha misingi ya umoja, amani na utulivu tuliyoachiwa na waasisi ambayo ndiyo chachu ya maendeleo yetu. CCM kupitia serikali zake wamepanua wigo wa upatikanaji wa elimu kuanzia msingi hadi chuo kikuu kwa kuongeza miundombinu yake. Changamoto kubwa iliyopo ni kukabiliana na uboreshaji wa mazingira ya kitaaluma kuanzia msingi hadi chuo kikuu, kuboresha maslahi ya walimu na mazingira yao ya kazi ili wafundishe kwa ari zaidi.


CCM pia kupitia serikali zake imefanikiwa sana kuimarisha miundombinu ya barabara, viwanja vya ndege na usafiri wa majini ili kurahisisha shughuli za kibiashara ufuatiliaji wa huduma muhimu na watanzania. Wamejenga madaraja na kurahisisha usafiri kwa watanzania kama vile ujenzi wa daraja la mkapa, daraja la malagarasi, daraja la kigamboni, daraja la mbutu, daraja la kilombero n.k.

CCM vile vile imejitahidi kuwekeza kwenye nishati mbadala ili kuliwezesha taifa kupata umeme wa uhakika utakaoruhusu uwekezaji wa uchumi wa viwanda kama ambavyo tumeanza kujionea kule Mtwara kwa kukamilika kwa kiwanda kikubwa cha saruji afrika mashariki na kati na cha tatu kwa ukubwa kusini mwa jangwa la sahara kiwanda cha Dangote. Upatikanaji huu wa nishati ya uhakika na gharama nafuu utachochea wananchi wengi zaidi kujiajiri
Chama Cha Mapinduzi Kinahubiri na Kutekeleza mabadiliko kwa vitendo ili kuboresha hali ya maisha ya Watanzania. CCM kupitia serikali zake wamepanua wigo wa upatikanaji wa elimu kuanzia msingi hadi chuo kikuu kwa kuongeza miundombinu yake. Changamoto kubwa iliyopo ni kukabiliana na uboreshaji wa mazingira ya kitaaluma kuanzia msingi hadi chuo kikuu, kuboresha maslahi ya walimu na mazingira yao ya kazi ili wafundishe kwa ari zaidi.

CCM pia kupitia serikali zake imefanikiwa sana kuimarisha miundombinu ya barabara, viwanja vya ndege na usafiri wa majini ili kurahisisha shughuli za kibiashara ufuatiliaji wa huduma muhimu na watanzania. Wamejenga madaraja na kurahisisha usafiri kwa watanzania kama vile ujenzi wa daraja la mkapa, daraja la malagarasi, daraja la kigamboni, daraja la mbutu, daraja la kilombero n.k.

CCM vile vile imejitahidi kuwekeza kwenye nishati mbadala ili kuliwezesha taifa kupata umeme wa uhakika utakaoruhusu uwekezaji wa uchumi wa viwanda kama ambavyo tumeanza kujionea kule Mtwara kwa kukamilika kwa kiwanda kikubwa cha saruji afrika mashariki na kati na cha tatu kwa ukubwa kusini mwa jangwa la sahara kiwanda cha Dangote. Upatikanaji huu wa nishati ya uhakika na gharama nafuu utachochea wananchi wengi zaidi kujiajiri na kupunguza gharama za maisha ya kila siku.

Pamoja na hayo leo ile hadithi ya dada na mama zetu kujifungulia porini na wakunga wa jadi imeanza kuwa historia na kwa baadhi ya maeneo imesahaulika. Huduma ya maji imeendelea kusogezwa karibu kiasi cha watanzania wengi kunufaika na maji safi na salama kwa umbali usiozidi mita 400.

Ni ukweli ulio dhahiri serikali ya Chama Cha Mapinduzi kimefanya mengi katika kuboresha hali yetu ya maisha kiasi kwamba tulivyo leo sivyo tulivyokuwa miaka ya 1960-1990 lakini bado zipo changamoto lukuki za kufanyiwa kazi ili maisha yetu hasa kipato kwa mtu mmoja mmoja,upatikanaji wa huduma bora za afya, umeme vijijini, maji, elimu, mawasiliano, makazi n.k hivyo tunakubali bado tuna safari ndefu ya kujiletea maendeleo zaidi.

Katika mambo yanayoendelea kuifanya CCM kuendelea kuwa chaguo la umma ni utamaduni wake wakujikosoa na kujipanga kuondokana na makosa au kujirekebisha. Tukumbuke hatutaki mabadiliko ya kisiasa bali ya kimaendeleo.
"Rais wa Tanzania anaweza kutoka chama chochote ila Rais bora wa Tanzania hawezi kutoka nje ya CCM." Mwl.Nyerere akasema pia "Kiongozi safi hawezi kutoka nje ya CCM".... Akaja kumaliza "Watanzania wanataka mabadiliko,wasipoyapata ndani ya CCM watayatafuta nje ya CCM, Kama kiongozi waliyemtaka akakataliwa alikuwa na sifa sawa na mwenzake"....LOWASSA hakuwa na sifa sawa na Dk. MAGUFULI. Ukiwaweka kwenye mizani Dk. MAGUFULI anamzidi LOWASSA kwa vigezo vya uadilifu,uchapakazi,ufuatiliaji,misimamo na utendaji. Tusifanye makosa mawazo ya Mwl.Nyerere bado yanaishi.



View attachment 293476

View attachment 293480

TUKAAMUE PASIPO MIHEMKO OKTOBA 25, 2015.

In 50 years bado mwenge Wa uhuru unazindua vyoo??una maana ww na kizazi chako
 
Siamini ccm kuwa inaweza kutoa kiongozi mzuri. Rejea bmk,
 
Inawezekana kama akipatikana mtu wa kusimamia misingi na sheria zilizopo! Naamini kupitia magufuli tutaona mabadiliko na CCM haitakua kama ilivyokua, Ndio maana nitamchagua!
 
Magufuli hawezi kuibadilisha ccm bali ccm itambadilisha.
 
labda kama ni ccm nisiyoifahamu...lakini kwa ccm ambayo unaizungumzia hakuna mabadiliko hapo...just wait and see
 
sifa nane (8) za rais anayestahilivc kuongoza jamhuri ya muungano wa tanzania kufuatia uchaguzi wa
oktoba 25, 2015. Chaguo la mungu 2015-2020


siku ya tarehe 26-09-2015 askofu wa kanisa katoliki ndugu kilaini alitoa sifa nane za mtu ambaye atakua rais wa tanzania katika awamu ya tano chaguo la mungu.


Yafuatayo ni maono ya askofu kilaini ambapo ameainisha sifa nane za rais anayetosha kutwaa mikoba ya ndugu jakaya kikwete nazo ni;


1. Mwadilifu
amesema nchi yetu ilipofika inahitaji mtu/rais ambaye anao uadilifu wa kweli na wa hali ya juu ili kuleta uongozi uliojaa uadilifu na nidhamu katika kuhakikisha kuwa watanzania wananufaika na kufurahia nchi yao na mambo yake yote.


2. Uchapa kazi kwa vitendo.
Nchi hii inazo rasilimali za kutosha ambapo zikitumika vyema watanzania watanufaika na maisha yao yatakuwa pazuri sana
zaidi ya sasa hivi. Ili kuhakikisha hayo ni lazima tupate kiongozi mchapa kazi kwa vitendo na hata tukimuuliza umefanya nini anao
uwezo wa kutuambia nimefanya hili na lile.


3. Mtekeleza majukumu yake ipasavyo.
Kiongozi ambaye atakuwa amiri jeshi mkuu wa tanzania anapaswa kuwa ni mtekeleza majukumu anayopewa na yanayomhusu ipasanyo, kama umekabidhiwa jambo unalifanya kwa ukamilifu wake.
Hivyo tanzania ya sasa haihitaji tena wajanjajanja ambao wanachekea watu huku hakuna utekelezaji wa majukumu yao ipasavyo.


4. Mzalendo
hakuna maendeleo tuyatakayo hapa nchini kwa sababu viongozi wetu wengi sio wazalendo wa kweli, wanayoyasema hawayaishi, wanayoyaahidi hawayatekelezi kisawasawa. Hivyo basi 2015-2020 inahitaji mzalendo wa kweli na naamini mpaka sasa tumeona nani mzalendo anayezungumza kwa ukali na umakini kuwa atawasaidia watanzania na atapambana na ufisadi, wezi na kushughulika na wabadhilifu wa mali na uchumi wa nchi.


5.mcha mungu
katika utumishi uliotukuka na katika utumishi uliojaa haki na utawala makini na bora ni lazima tupate rais ambaye anayo hofu ya mungu na ni mcha munngu kabisa, tumepata kuwa na viongozi ambao hawana utii kwa mungu na wakaharibu utumishi. Mwaka huu watu wanaoigiza kuwa ni wacha mungu wanapaswa kukataliwa kabisa na kuwapa kura watu wanaoonekana kuwa na hofu ya mungu.


6.mpenda watu
kupendwa na watu pia ni sifa muhimu sana, ila uwe unapendwa sio
kwa sababu unawapa rushwa, sio kwa sababu uliwaandaa muda mrefu wakupende, sio wakupende kwa sababu umewafanya watamani kumkomesha mtu au chama fulani. Iwe wanakupenda kwa sababu ni mtendaji wa kazi, kwa sababu unachukia wezi, mafisadi, uwe wanakupenda kwa sababu hupendi mchezo katika kazi, iwe wanakupenda kwa sababu ya uzalendo wako. Nawe pia uwe unawapenda kwa sababu unayapenda maendeleo yao na uwe unawapenda kwa kuwatendea kazi ipasavyo na sio kuwaibia mali zao.


7. Asiwe boss kwa wananchi
rais ajaye hapaswi kuwa boss/meneja wa wananchi wake. Hii ni tabia chafu kwa rais kuwa au kujifanya boss au meneja wa taifa zima. Bali rais anapaswa awe mtumishi wa watu, achukue muda wake mwingi kuwazungukia wananchi katika maeneo yao kukagua shughuli za maendeleo na kushiriki pia, hivyo lazima uwe mkakamavu wa mwili na akili .


8.ujasiri wa kuwakemea wasio waadilifu
rais wa tanzania 2015-2020 anapaswa kwa nguvu zote awe mjasiri wa kukemea na kuwaonya hata kuwachukulia hatua viongozi na watanzania wasio waadilifu. Ni lazima afanye hivyo kwa lengo la kujenga nchi yetu katika hali ya uadilifu ili kuimarisha umoja, mshikamano, na ushirikiano hata usawa na haki. Na tayari
mmeshaona kiongozi mwenye ujasiri wa kufanya hivyo, na hata nayekerwa na wasio waadilifu.


Kwa kuzingatia hayo tutakuwa tumepata kiongozi chaguo la mungu 2015-2020, na lazima tutampata.

sasa mbona askofu kilaini amempendekeza magufuli .
 
Moringe Sokoine1, kama lengo lako ni kumpamba mkurukupaji Magufuli,you are riding
the wrong horse.Magufuli hana sifa za mtu anayeweza kuleta mabadiliko yoyote ndani ya ccm. Labda anaweza kuleta mabadiliko Monduli Military Academy kwa kuonesha staili mpya ya kupiga pushup
kwa kutumia ngumi. He has more military qualities than presidential!
Tume ya uchaguzi ilijua kabisa kwamba ningeweka X kubwa kwenye jina lake, ndo maana
tume inasema eti ukiweka X kura imeharibika! Nami sitaki kuharibu kura yangu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom