Recent content by BARBIEGEE

  1. B

    Hivi kazi walizotoa TRA mwezi 6 watu washaitwa kwenye interview au bado?

    kuna mdau alisema ni August na ndio hii ikifika sept. ujue manyoya tayari 🥲
  2. B

    Interview ya TRA ni lini?

    august ndo hii na bila bila kuna mdau alisema hamna kitu
  3. B

    Huwa unaruhusu mtoto wako kupigwa picha na watu mbalimbali ikiwemo ndugu? Unajua madhara yake?

    well said kibongo bongo hakuna security kihiivyo watoto wanazagaa sana mtaani mtu aamue tuu privacy na watoto wake lkn sio kuogopa atapigwa tukio sababu ya picha
  4. B

    Huwa unaruhusu mtoto wako kupigwa picha na watu mbalimbali ikiwemo ndugu? Unajua madhara yake?

    mb sijakataa kuna taasisi km hizo kwa ajili ya haki na usalama kwa wototo... lkn bado nipo pale pale kupost picha ya mtoto na imani za kishirikina ni mtazamo wa mtu labda ishu ya kusalama lkn hata kwa mtu mzima km mtu anataka akufanyie ubaya akipewa picha yako is the same thing kwa mtoto so...
  5. B

    Huwa unaruhusu mtoto wako kupigwa picha na watu mbalimbali ikiwemo ndugu? Unajua madhara yake?

    eti mtu akitaka picha si ana upload tuu kwenye mitandao huko jaman:p
  6. B

    Huwa unaruhusu mtoto wako kupigwa picha na watu mbalimbali ikiwemo ndugu? Unajua madhara yake?

    haimake sense bwana imani zenu tuu mtu anawezaje kupost picha akatoa maelezo yote hayo?/ mahali anapoishi, shule na details nyingine? watu wanapost watoto kwenye event mbalimbali miaka nenda rudi... dunia ya sasa ni utawazi mtu anapost tokea mtoto anazaliwa hadi anahitimu chuo na hakuna baya...
  7. B

    Wanawake wenye tabia za kiume wanakera sana

    wewe uko sahihi sana.... ukiona mwanamke anatabia za kiume ujue kuna mahali umeyumba:rolleyes::rolleyes::rolleyes:
  8. B

    Huwa mnawashughulikiaje watoto wanaokuwa na tabia kama hii?

    advantage ni kwamba tunaishi tz tuna uhuru wa kuwafanya watoto wetu tutakacho... piga huyo hadi aseme... tafuta askari 1 ampige bila huruma... ila sio kichwani mbona atasema tuu... hamjaweka jitihada tuu tafuta mtu amfatilie mtajua anakoshinda... hizo dawa mlishiundwa hata ku google mjue...
  9. B

    Interview ya TRA ni lini?

    kwanin boss
  10. B

    Interview ya TRA ni lini?

    khee unatoa wapi connection ndugu yangu
  11. B

    Interview ya TRA ni lini?

    sawa mkuu ila kuna zingine huwa zinapita kimya kimya au unaskia zilishapita so kuuliza muhimu hata hivyo hata km huna uhakika ni vuzuri kujua ipo au haipo instead of kusbr tuu!
  12. B

    Interview ya TRA ni lini?

    hahahahahahah jaman
Back
Top Bottom