Ni Dell 15z - 5523, nimeupdate windows 10 mwezi uliopita na haikuwa na tatizo lolote. Ila juzi nimeiwasha kama kawaida lakini nashangaa inaanza kama inataka kuwaka halafu inatoa milio (tones) mitatu halafu inazima. Screen inakuwa tu nyeusi.
Msaada tafadhali.
Article imeandikwa na Kinana halafu mtu anaanzisha thread eti wamarekani wamesema.
Wewe muanzisha thread inaonekana ngeli haipandi.
Kinana kakutana na majibu mazuri sana kwenye hiyo post yake kwenye thehill.com. Kinana mwenyewe muuza pembe za ndovu.Thank you Rashid, Flora, Kilim, Haika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.