Nilidhani unajitambua baada ya kutuletea kurasa zako kumi kumponda lowasa kumbe kilaza kilaza
Hata kama anaumwa ikulu si wanazahanati ya raisi kazi yao nini??
Wakati kikwete anaanguka chini kwenye campaigns zake mmlipeleka wapi??
Kwenda huko na hadithi zenu mbovu
Mgonjwa mgonjwa tumechoka!!
Kama unakumbuka wakati obama yupo campaign walimuuita majina yote mabovu na aliekua anamuita hayo majina alikua hillary clinton lakini alivyomshinda kwenye kura ya maoni walikaa meza moja na chama kikadunda
So kwa kuuitwa majina yote ya oovyo haijalisha hizo ni politics propaganda tu ambazo...
Maisha ya ndoa ni uvumilivu rafiki kuchukuliana both sides hata wewe yapo yanayomkwaza mno kama kupost angeweza post daily on jamii/fb kila kona but anayamezea kwa hiyo mkuu/mdau try to learn from each other and be more than frnds
Aaaaaaa mfa maji!!
What else did u want him to air out? What kind evidence did u want from him?
Talking about substance and rationales of what kind dont make us laugh! Its hard to swallow what u guys are going through but its jst a matter of dynamicity not personallities so thats politics!!
We...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.