Nadhani swala la msingi hapo sio rangi kama unavyosema, ila najaribu kujiuliza swali moja tu, kama wameweza kubadikisha rangi kutoka kwenye weusi na kufanya aonekane mzungu, je unadhani hayo mafundisho yake hawakuyabadilisha na kuyaweka vike wanavyotaka wao?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.