Recent content by barakatele

  1. B

    Was Jesus Black?

    Nadhani swala la msingi hapo sio rangi kama unavyosema, ila najaribu kujiuliza swali moja tu, kama wameweza kubadikisha rangi kutoka kwenye weusi na kufanya aonekane mzungu, je unadhani hayo mafundisho yake hawakuyabadilisha na kuyaweka vike wanavyotaka wao?
  2. B

    Was Jesus Black?

  3. B

    Walichotufanyia CRDB Mlimani City siku ya Krismasi

    good umejibu kisomi zaidi bro, kula like hapo.
  4. B

    UNAWEZA KUWA MILIONEA KWA KUWEKEZA KATIKA MITI YA MBAO. Check hapa

    nina shamba la miti heka 20, miti ya miaka 2, lipo kibengu hapa iringa. kutokana na uhitaji wa fedha naliuza, heka moja ni laki sita pamoja na ardhi
  5. B

    Mlinzi wa Lowassa, ni binafsi au toka Serikalini?

    ha ha haaaaaaa, umeuaaa duh
  6. B

    Maandiko haya yalikuwa na maana gani? Au yalikuwa yanawahusu wakina nani?

    yap, na taifa hilo si lingine bali ni tanzania (gosheni), ambapo Injili ya kanisa la mwisho imeanzia, na sasa inaenea kwa kasi Africa na ulaya.
  7. B

    Kutoka Kariakoo: Watu waliovalia mavazi ya CCM wazomewa na machinga

    ndugu nirushie hiyo video 0767134628
Back
Top Bottom