Recent content by barakaelimu

  1. B

    GE2015 Magufuli ataja mafisadi CCM

    Nawapeni pole sana wanaosema Edo ni fisadi Kwan kama angekua fisad asingestahili kuchukua form wangwmwekea pingamiz na kama Kweli Edo ni fisadi Kweli magufuli hana uwezo wakushughulikia mafisad kwan angeanza na Edo ambaye wanamtaja tena amekua karibu sana naye yaan ni mgombea mwenzake kiti...
  2. B

    Jana Usiku Ethiopia Yatangazwa Nchi ya Pili Africa Kwa Uzalishaji Umeme

    Karatasi tayari zimetoka lowasa namba NNE wasio jua wasaidien wawe makin juu ya hilo
  3. B

    Shamba linauzwa Kondoa

    Weka namba ya cm
  4. B

    Mtaalam wa kutengeneza vyungu anahitajika

    Ndugu wako wengi sana
  5. B

    Roma Mkatoliki Kumbe Angefaa kugombea Urais

    Ndugu zangu sijawaelewa mnamaanisha nini hasa inamaana yeyote mwenye uwezo wakumiliki jukwaa ndo anasifa ya kua raisi?
  6. B

    Zaidi ya wagombea 30 ubunge wa CCM waliopitishwa kujiunga na UKAWA Jumamosi

    Ni Kweli mmenena lakini yamebakia masaa kwa uhakiki zaidi na kama itakua hivyo Kweli UKAWA watakua na uhakika wakushinda kiti cha urais asilimia 80
  7. B

    Agano la damu katika mapenzi lina madhara gani?

    Ndugu zangu mtoa maada anahitaji msaada na sio matusi/ kejeli au lugha chafu Mtoa maada napenda nijibu kama ifuatavyo 1: katika ulimwengu Wa roho huyo bado ni mpenzi wako hivyo bac kunaulazima kuvunja hayo manuuzi mlivyonuiana hio cku 2: damu ni sawa na uhai hivyo bac Yale maagano yenu...
  8. B

    Urejeshaji wa Fomu za wagombea Urais, Ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi

    Heri yao walioingia kwenye tundu la sindano Maana njia yao imeshakua nyeupe imebikia kazi kwa watawaminishaje wananchi wawape fursa ya kuingia kwenye roho ya Tz NB chungeni sana wagombea Wa sector zote msimwange Damu Tz itakua ni nchi yenye machafuko term yote ya uongozi wako ewe diwan;Mbunge...
  9. B

    Tofauti ya mapokezi ya Lowassa Airports akiwa CCM na akiwa CHADEMA

    Huyu mtoa post la kwanza Nimtu asiyejielewa hivi thaman ya binadam iko tofauti? Sifa za binadam ziko tofauti? Hadhi ya binadamu ziko tofauti? Imekuaje hao wanadamu waajabuajabu? Yawezekana huyu c mwafrika Maana wazungu walituona cc waafrika ni watu waajabuajabu hivyo na yy cc waajabuajabu...
  10. B

    Edward Lowassa special thread

    Nchi tusipo ichukua kiukweli tutapoteza mengi sana kwa miaka hii mitano kikubwa na cha msingi tuungane na tuhamasishe wengine juu ya umuhimu Wa kupiga kura awamu hii
  11. B

    Yoga Pant Ya Aina Yake

    Jaman ndo NGUO au editing clothes
  12. B

    Kashfa ya Richmond: Lowassa, Karamagi na Dkt. Msabaha Wajiuzulu

    Wapendwa tambueni yakwamba Mungu ni MKUU hata kama lowasa hataingia ikulu ila tayari ukweli tumeujua
  13. B

    Sikubaliani na hoja ya Lowassa Kujiengua CCM na Kujiunga CHADEMA/UKAWA

    Huo ni mtazamo wako mtanzania mwezangu ila cku chache zilizopita CCM ilisema yakwamba hata kama kwa goli la mkono watashinda Je nyie mtatumia concept gani kushinda?
  14. B

    Mayai ya Kwale (Quail eggs) yanapatikana kwa bei nafuu

    Jongwe ameuliza swali nzuri sana tunaomba mtupatie Elimu juu ya ndege kware pamoja na mayai yake
Back
Top Bottom