Ulitaka aandike kwa mguu? Kabla ya kupelekwa kuchapwa huwa inaandikwa kwa kutumia nini?.....
#Tunabana bajeti mpaka wino wa Typing mashine hautumiki bila sababu ya msingi.
Kama umeshajitoa kwenye mafunzo hukustahili kuyasema hayo, ni wapi alishawahi kutoza ada?
Halafu unadai "SISI BASI", Wewe na nani?
Kitu kama huna interest nacho kiache kilivyo usilazimishe utawehuka.
Nenda siasani, hizi mambo popoma kama wewe huwezi archieve hata nukta.
Kumradhi Wadau kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.