Recent content by barahambaraye

  1. barahambaraye

    Aina kumi za Wanaume ambao hawafai kuwa nao kwenye mapenzi

    hahahahaha....nimecheka sana hii kitu
  2. barahambaraye

    Mama miwani, mchawi hatari anayetikisa Kahama

    Duh!!! haya maamuzi yako mbona magumu sana, uwe tayari kuithibishia serikali sababu ya kujichukulia sheria mkononi.....
  3. barahambaraye

    Mama miwani, mchawi hatari anayetikisa Kahama

    Mama miwani njoo kipande hii tafadhali utoe ufafanuzi wa mashtaka haya....Mkuu wiseboy, ni njia ipi unadhani huenda ikawa suluhisho la tabia yake? Umewahi/mmewahi kujaribu?
  4. barahambaraye

    Lukuvi: Million 300 zimeombwa mwaka huu kujenga jengo la kuhifadhia dawa za kulevya

    Duh!! umenifurahisha sana....Ni kweli, kwani yaliyokamatwa kipindi cha nyuma yapo wapi!!!!!??? CCM ptyuuuuu
  5. barahambaraye

    Mrisho Ngassa apandishwa kizimbani

    Huenda alitunzwa kwenye kitchen party....wacha avidai.
  6. barahambaraye

    Huyu jirani anapiga sana mtoto,wapi turipoti,na je itakuwa inanihusu?

    Mkuu Job k huyo unaemzungumzia(alieua mtoto) nahic ni ndugu yangu,yupo segerea. SHERIA ICHUKUE MKONDO WAKE.
  7. barahambaraye

    Huyu jirani anapiga sana mtoto,wapi turipoti,na je itakuwa inanihusu?

    Ni kweli Dinazarde,mi sipendi kupiga mtoto au hata kumsikia analia awe wangu au hata nikiwa napita pahala.... Watu tunashindwa kuelewa kuwa wakati huu si kama zamani,watoto wa mtaani wamekuwa wengi na asilimia kubwa wanakimbia manyanyaso majumbani kwao.
  8. barahambaraye

    Huyu jirani anapiga sana mtoto,wapi turipoti,na je itakuwa inanihusu?

    Ndugu si kweli...mi kuna dada yangu wa damu yupo segerea huu mwezi wa 3 kwa kumpiga mtoto mpaka kufa. Ni dada yangu ila kwa alilofanya acha sheria ichukue mkondo wake na iwe funzo kwa wengine.Ndugu wamejichanga kulimaliza soo ila mi nnawatazama,iliniuma sana kwani alimnyanyasa yule mtoto sana...
  9. barahambaraye

    Ushauri: Nimepanga karibu na madanguro ya machangudoa hapa Mwananyamala

    Mkuu hapo uhame kwa usalama wa watoto wako.. Mi binafsi nimetembea mikoa 8 na kufanya shughuli zangu ila Dar sipendi hata kupasikia achilia mbali kuishi. Niambie nikazurure mikoa yote ila dar hapana.
  10. barahambaraye

    Hivi hawa wahudumu wa mochwari huwa wana akili timamu?

    Ntarudi kutoa uzoefu wangu kwani nimekutana na utofauti hasa kwenye hospitali ya BMC(Bugando)....
  11. barahambaraye

    Watanzania 7 wauawa kwa risasi Zambia

    Jazia nyama hiyo habari yako mkuu...huenda kuna vingi unaweza kutugea.Ni mfanyabiashara ipi? kitongoji kipi? na hili tukio ukilinganisha na biashara zake unapata picha gani?...hebu funguka mkuu.
  12. barahambaraye

    Mauaji Geita: IGP atoa sh10m

    Mkuu tunawalipa ila kabla ya cheki (cheque) haijatoka ni muhim kusaidia upelelezi kidogo huenda unafaham vingi...... Ahsante
  13. barahambaraye

    Mtanzania auawa Royal Oven Kawe

    Uandishi wako nimeupenda.... Mengine nawaachia wanausalama.
  14. barahambaraye

    Kuachia haja kubwa kwenye public toilet

    Na kwanini uchungulie? hiyo ndio shida iliyokupeleka?
Back
Top Bottom