kambagasa
JF-Expert Member
- Aug 18, 2014
- 2,271
- 1,810
Hii habari imenigusa sana kwani huyu mama kulingana na maelezo ya huyo mleta mada nimefaham ni mama yupi anayemuogelea. Kwa vile ni mara ya kwanza kusikia tuhuma hizi japo tukio la mlinzi kuuwawa lilinikuta nikiwa kijiji jirani na Ilogi. Lakini wana JF forum mimi sipo hapa kumsafisha mtuhumiwa huyu ila ninachotaka mkifahamu kuwa huyu mama ni mwanasiasa tena mwanasiasa mkomavu na ashawahi kushiriki kugombea udiwani wa kata ya Bugarama kama mwanamke pekee japo alipungukiwa kura lkn nikiamini kwenye siasa maadui huwa hawakosekani na hatuwezi fahamu kama mleta uzi ni mmoja wapo au la. Pili;huyu mama kimaisha na mme wake yuko safi na kuna kipindi wabaya wake walivumisha anafanya biashara ya madawa ya kulevya. Binafsi nishawahi kubadilishana maongezi kuhusu siasa kwa kweli ana busara,moyo wa kujitolea na kujituma. Yote aliyoyasema na hili la madawa ya kulevya nililolisema mimi ndugu zangu haya yote huwa ni siri ya mhusika. Nonachomuuliza mleta uzi ni kuwa;tukio la kuuwawa kwa mlinzi lilihisu wezi waliokuja kuiba duka lake,je ni vipi ahusike ktk mauaji hayo? wewe kama ni mwandishi kwa nini usifuatilie mauaji ya diwani wa kata ya Bugarama (Paul Kisiminza) aliyeuwawa kikatili kwa sababu ya kisiasa.