Mauaji Geita: IGP atoa sh10m

Mauaji Geita: IGP atoa sh10m

hiv hizi dau huwa zinalipwa kweli?
nakumbuka ile ya afande Barlow ilitangazwa sasa sijui kama raia walilipwa
 
hiv hizi dau huwa zinalipwa kweli?
nakumbuka ile ya afande Barlow ilitangazwa sasa sijui kama raia walilipwa

Mkuu tunawalipa ila kabla ya cheki (cheque) haijatoka ni muhim kusaidia upelelezi kidogo huenda unafaham vingi......

Ahsante
 
Katika yale matukio ya kuuawa wana CDM kwa bomu pale Soweto Arusha mbona hatukusikia ahadi kwa atakaefanikisha kukamatwa waliohusika na uhalifu ule? ni vema hawa viongozi wa polisi wakajifunza kuwa mauti umkuta yeyote yule bila kujali cheo wala kazi anayofanya.
 
Mkuu hao majambazi kutoka nchi za jirani lazima wawena watu kutoka tz mgeni hawazi kuja bila mwenyeji
wameshaishi sana Geita, biharamulo, kagera na kigoma kama raia wa tz, vibarua wengi wa huko ni warundi, wanaijua tz kuliko hata burundi wala sio wageni. siku hizi wameshafika hadi Tabora. kwa dsm
 
Mkuu unatuchanganya hesabu yako sio jumla itakuwa 25005000 tshs. Tunashukuru kwa mchango wako lakini ungeongeza kidogo.

Hizo mnazoongeza angalieni msije kuyashawishi yarudi tena kazini
 
Watu wanaogopa sana kupelekea habari kwa sababu ya woga wa kukaa rumande akisaidia polisi kitu ambacho pamoja na athari zingine, kinahatarisha mahusiano na maisha yao. Hii inaweza kuwafanya watu wakae na taarifa muhimu bila kuziwasilisha kwa mamlaka husika, hasa kama hawajui hatima zao katika kutoa taarifa.

Lakini Tanzania ni yetu ndugu zangu. Tukatae matendo yoyote yanayoashiria kuvuruga amani yetu. Tushirikiane na vyombo vya usalama. Hii ni kwa maslahi yetu sote. Haiwezekani uhalifu ujitawale kiasi hiki. Hili halivumiliki.

MAUAJI GEITA: IGP E. Mangu leo ametangaza bingo ya Sh10m kwa mtoa taarifa zitakazosaidia kukamatwa kwa watu waliovamia kituo cha polisi jana usiku mkoani Geita.


MAUAJI GEITA: IGP E. Mangu leo ametangaza bingo ya Sh10m kwa mtoa taarifa zitakazosaidia kukamatwa kwa watu waliovamia kituo cha polisi jana usiku mkoani Geita.
 
Mkuu nina machungu sana na hao 'mbugila'waliotuulia makamanda wetu.Natangaza kuongezea dau la kamandaa mkuu,ntatoa buku jero babake!!!:frusty:
maamaee mimi Pia siachwi nyuma nitaongeza mchango wangu wa debe moja la udaga. R.I.p Mwangosi
 
niitie roho mashakani kisa m10? ili mpate adabu weka 50m, si tukileta habari vituoni mnarudi kuwaambia wahalifu? polisi wanapaswa kujifunza kua karibu na raia, hao majambawazi lazima wamesoma ramani kwa muda hapo na kubaini mapungufu lukuki! hata raia wa jirani na kituo lazima wameona mengi (inasemekana kituo kiko peupe barabara kuu) ushirikiano duni hupunguza upatikanaji wa habari.
 
Twende mbele na kurudi nyuma, hv jamani huwa hamuwaoni askari jinsi wanavyokaa kizembe zembe huku wakinywa kahawa kwenye benchi na wakiwa hawana silaha na buti wamevua wamevaa kandambili?? Jamani huwa hamuwaoni? Mbona hili hamlisemi? Sasa unategemea nini? Tukio la kuuwawa askari ni uzembe wao, majambazi matano wao sita, tena wapo kituoni lakini hawakuwa na silaha wameridhika!! Wasipobadilika watauwawa sana, uhamiaji nao wamekuwa wala rushwa wakubwa, wahamiaji haramu hadi wanaingia nchini wanafanya kazi bila kugundulika, rejea makomandoo wa nepal, unategemea nini hapo?

ndugu yangu usilo lijua nisawa na usiku wa giza pale nikituoni jamaa wamekuja saa tisa usiku na kama unavyo jua polisi wana hudumia raia kwa vyovyo te vile huwezi kuanza kumshukia raia huenda amekua kwa matatizo lazima umsikilize achillia mbali hilo watu wameenda wame rusha bom la mkono kabla ya kuingia kisha wakaanza mashambulizi polisi na ye nibina damu kama ww kwa usiku kama saa tisa kwa bina dam yeyote huwa amechoka kwahio nidhahili kuwa hata ufanyaje huo sio uzembe wa askili wala nn mkuu
 
ndugu yangu usilo lijua nisawa na usiku wa giza pale nikituoni jamaa wamekuja saa tisa usiku na kama unavyo jua polisi wana hudumia raia kwa vyovyo te vile huwezi kuanza kumshukia raia huenda amekua kwa matatizo lazima umsikilize achillia mbali hilo watu wameenda wame rusha bom la mkono kabla ya kuingia kisha wakaanza mashambulizi polisi na ye nibina damu kama ww kwa usiku kama saa tisa kwa bina dam yeyote huwa amechoka kwahio nidhahili kuwa hata ufanyaje huo sio uzembe wa askili wala nn mkuu
kwa iyo Mwangosi alikuwa fisi? ??
 
kwa iyo Mwangosi alikuwa fisi? ??

sijaongelea maswala ya mwangosi tunaingelea kilicho tokea sasa ivi samahani nikuukize ivi smg 15 zime chukuliwa jee unategemea zitaanzia kufanya kazi wap huenda kwako au kwangu ndugu yangu
 
Back
Top Bottom