******Ndo hivyo, tuvumilie, tutafika tu*****
Niko hapa maeneo ya Ubungo Plaza nikiwa nimejiandaa vema kuhudhuria tukio la uzinduzi wa kitabu cha ndugu uyetu Alphonce Lusako ghafla naona magari ya polisi matatu lingine likiwa limepaki kwa mbali.
Hapa nilipo imenibidi nijifanye mpita njia maana...
Tulipofikia, duh
Kuna nch za wenzetu tena Mataifa.makubwa mf marekan watu wanafanya kaz kwa bidii, hakuna kijana yeyote wa chama tawala aliyewah kuingia barabaran kupongeza utendaji kaz wa mtu fulan, wananchi tunataka maendeleo co maandamano ya vijana chama tawala au UKUTA. Ndo hvo miaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.