nestory masunga
Member
- Jan 20, 2017
- 59
- 26
Nacte wanafungua ln dirisha la usaili
Mwezi March for the 1st intake, and march for the 2nd intake round of applicationKwani mara nyingi application za nacte huwa wanatoa mwezi wa ngapi
Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
hahahahahaaa😀😀😀😀😀😀😀😀😀Daaaaah tatizo sikuzaliwa kuwa mtendaji...... Sorry for that
bundle lako unatumiaje!!!?mtatujuzA...jaman
mda mwingine huwa nasahau kuingia nacte...hata wikbundle lako unatumiaje!!!?
ppw mkuumda mwingine huwa nasahau kuingia nacte...hata wik
Chuo hauwezi kabsa kusoma Afya kama haujawai kusoma physics olevel physics lazima uwe na alama angalau D kama sio hivyo fanya mambo mengine ya msingi...Wakuu nina dv 3 ya 25.Math D, Eng/scienceD,Kiswahl D,Engls C ,Chemistry C biology C na Civisc D.nahitaji kusoma Diploma ya Clinical medicine ..mwenye msaada wa kupata vyuo vya serikal tafadhar aje PM. Natamani sana Lugalo..
Kwani mkuu somo la Engenering science halilandani na Physics.Chuo hauwezi kabsa kusoma Afya kama haujawai kusoma physics olevel physics lazima uwe na alama angalau D kama sio hivyo fanya mambo mengine ya msingi...
Mnaambiwa someni sayansi ww unakimbia na Physics haya sasaaaa
Inaoneka uyo hajui engineering science ni kitu gan, kama ajasoma tech school awez elewaKwani mkuu somo la Engenering science halilandani na Physics.
Unakosea ukisema siwezi kuelewa. Japo sasa siielewi, ila ukinielewesha kwa kifupi tu nitaelewa.Inaoneka uyo hajui engineering science ni kitu gan, kama ajasoma tech school awez elewa