hapana ukifika chuo kila kitu utakikuta huko so kama course unayotaka kwenda itakuwa ina nafasi utahama bila wasiwasi. But cha msingi ni kuripoti kwanza chuo mengine yatafuata
Ungeweka matokeo yake ingekuwa rahis kumshauri kwakuwa hata diploma vyuo vya afya kuna competition pia bcoz kuna watu wana ufaulu wa juu sana wamekosa nafasi degree wanakimbilia diploma
Ilikuwaje ukakiweka kwenye list yako wakati unajua kabisa autaki kwenda huko. Mara nyingine unatakiwa kuwa makini sana kwenye choice ya vyuo kwakuwa ukikosea tu unakukosti. Ushaur wangu angalia uwezekano wa sehem nyingine au wew nenda huko alafu badae ukifika chuo fanya transfer uhame chuo...
Tcu wanausikaje hapo wakati wao awachangui wap wew uende zaidi ya chuo ndo wanakuchangua wao. Alafu kwann uweke hicho chuo wakati wew autaki kwenda huko Tanzania kuna vyuo zaidi ya 30 Kwann usiweke vingine. But kuna nafasi za transfer huwa zinatoka unaweza kuama chuo kwenda unachotaka
Competition ni kubwa tena ukizingatia waliomaliza six wanapewa sana kipaombele bcoz ufauli wao ni mkubwa nakushauri jaribu kuapply na vyuo vya private kupata inakuwa rahisi.
Maana unakuta mtu kachanguliwa zaidi ya chuo kimoja na amethibitisha ataenda kimoja wapo lakini mwisho wa siku mkopo unaenda kule ambapo ukuthibitisha. Itabidi kuwe na njia za kuzuia mambo kama haya yasitokee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.