Riz king
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 275
- 547
wakuu kama kichwa knavojieleza nlipata GPA ya 4.0 ya clinical medicine lakini fist round niliapply vyuo viwili yaan muhas na udom lakin kote sikupata je wakuu itakuwaje maana nasubili second round kwa vyuo hvo bado sijaona sehemu ya kufanya nifanyeje wakuu