Wana forum napenda kuwajulisha kuwa sasa Mashudu ya UBUYU yanapatikana kwa wingi tupo Dodoma mjini. Kwa anaehitaji wasiliana nasi kwa namba zifuatazo 0766550881/0754047033
Wadau nina bidhaa ya UNGA WA UBUYU, natafuta soko, ninao unga wa kutosha na bado naendelea kuuzalisha, mwenye kuhitaji awasiliane nami kwa namba zifuatazo 0712700280/0766550881. Napatikana Dodoma, karibu na Dodoma Hoteli ( Opposite Station ya Reli)
Watanzania wenzangu, taarifa kutolewa sio kitu cha ajabu, tatizo ni ubora, utaratibu, na hata uzito/umuhimu wa jambo lenyewe kwa wakati huu tulionao. Yako maswali mengi ya kujiuliza juu ya taarifa iliyotolewa na TFDA. Nayo ni kama yafuatayo;
1. Je Utafiti huu umefanyika mara ngapi na ulianza...
Faida za unga wa ubuyu hizi hapa:
UNGA WA TUNDA LA UBUYU ( JUICE): Ni unga unaotokanao na mbegu ya tunda la ubuyu unaotoka juu ya kokwa. Ni juisi yenye vitamini C kwa wingi kuliko tunda lolote lile. Pia inaongeza kumbukumbu na huleta hamu ya kula kwa afya.
MATUMIZI: Tumia kijiko kimoja cha...
Mafuta yanapatikana kuanzia ujazo wa lita moja na zaidi.
MAFUTA YA UBUYU
(BAOBAB SEED OIL)
Ni mafuta yatokanayo na mbegu ya ubuyu {au kokwa}. Hukamuliwa kiini chake na kutoa mafuta. Utafiti huu umefanywa na Kampuni ya Essential Oil ya Afrika kusini. Mafuta ya ubuyu yana ubora kuliko mafuta...
MAFUTA YA UBUYU
(BAOBAB SEED OIL)
Ni mafuta yatokanayo na mbegu ya ubuyu {au kokwa}. Hukamuliwa kiini chake na kutoa mafuta. Utafiti huu umefanywa na Kampuni ya Essential Oil ya Afrika kusini. Mafuta ya ubuyu yana ubora kuliko mafuta mengine ya kupikia, yana vitamin A, B, C, D na F. Pia...
Wadau nami nawakumbusha, mafuta ya Ubuyu ninayo wenyewe mmejionea kazi zake hapo juu, pia unga liani wa juice ya ubuyu usiyo na mchanga unapatikana kwa wingi wake pamoja na sabuni zake. Napatikana Dodoma karibu na Dodoma Hotel, kwa walioko mkoa mwingine bidhaa hizi zitakufikia itakayoongezeka...
Mimi pia nauza kwa bei yetu ya madafu yaani TSH., jumla na rejareja. Wanajamii hii imefanyiwa utafiti sana tu. Angalia gazeti la serikali la september,2011 ukurasa 48 hadi 50 pia tembelea Baobab Fruit Co. Home - Baobab Fruit Company Senegal. nipigie kwa simu 0712700280 niko Dodoma. Bei ni nzuri...
Weka namba zako za simu, mi nina wakala mwanza mafuta yatakufikia chap chap, na hata ukiihitaji unga wake ambao ni laini usio na mchanga kwa juice unapatikana. piga namba hii. 0712700280
Wadau leo nimeona vema kuwajulisha kuwa ninauza bidhaa za ubuyu pia natafuta masoko ndani na nje ya nchi: bidhaa ni;
MAFUTA YA UBUYU, UNGA WA TUNDA LA UBUYU, SABUNI YA UBUYU, UBUYU LISHE N.K.. Napatikana Dodoma. Toa oda sasa kupitia namba zifuatazo;
0766550881 au 0712700280 au kupitia barua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.