Recent content by banzy

  1. B

    The story of my life: Ukweli mchungu baada ya kugundua mtoto tulie naye hakuwa mtoto wangu

    Tayari mkuu nimeshaimaliza, sorry wadau nilitingwa na majukumu kidogo
  2. B

    The story of my life: Ukweli mchungu baada ya kugundua mtoto tulie naye hakuwa mtoto wangu

    Tayari mkuu sorry nilikuwa busy kidogo na majukumu
  3. B

    The story of my life: Ukweli mchungu baada ya kugundua mtoto tulie naye hakuwa mtoto wangu

    MWANZO WA MAISHA MENGINE Baada ya kuja na dada yake pale kukawa na kikao mwenyewe akaniomba aniambie kila kitu,me nikamwambia aniambie tu ukweli Akaniambia ni kweli alikuwa anadate na yule mzee na walianza nae kitambo alikuwa kama sugar dady wake na alikuwa anasafiri nae sana kwasbabu huyo...
  4. B

    The story of my life: Ukweli mchungu baada ya kugundua mtoto tulie naye hakuwa mtoto wangu

    KUANZA KUUJUA UKWELI Naomba tuendelee sisi tulikuwa na group la tuliomaliza primary miaka hiyo ya 90's mwishoni, sasa kama mnavyojua mkiwa na group halafu wote mnajuana toka utotoni kunakuwa na utani mwingi sana,na me nilikuwa miongoni mwa wachangia mada maarufu kwenye group, sasa siku hiyo...
  5. B

    The story of my life: Ukweli mchungu baada ya kugundua mtoto tulie naye hakuwa mtoto wangu

    HISTORIA YA MAISHA YANGU Naomba nielezee historia ya familia yangu kwa ufupi kidogo ili kuja kupata picha nzur badae. Mimi ni mtoto wa 3 kwenye familia ya Watoto 5 nina dada ka kaka yangu ambao wakubwa kwangu na wana familia zao na Maisha yao na pia nina wadogo 2,mzee alishafariki tumebaki na...
  6. B

    The story of my life: Ukweli mchungu baada ya kugundua mtoto tulie naye hakuwa mtoto wangu

    Habari zenu wana jamii forum Leo naomba niwaletee kisa cha ukweli kilichotokea miaka kama 9-10 iliyopita wakati wa kuhangaika na Maisha, naomba nikiri mimi sio mtu wa kupost sana mara Nyingi ni mtu wa kusoma tu content za watu. Mtaniwia radhi kwa uandishi mbovu mana sio mtaalamu sana wa...
  7. B

    Jinsi Ya Kupokea/ku-withdraw Pesa Kutoka Upwork Au Fiverr (Beginners Freelancing Guide)

    Ahsante kwa andiko zuri mkuu,kuna vitu gani vya msingi vitakavyokuwezesha kupata kazi mfano upwork kwasababu me niligerester kama mwaka hivi lakini sijawah kupata kazi huko
  8. B

    Naomba msaada Motorola Droid Razr HD inashindwa kupata internet

    Habari wakuu, Naomba msaada nina motorola droid hd ni ya Verizon lakini nikiweka simcad yoyote VODACOM, TIGO AU AIRTEL na kuenable data connection nashindwa kupata internet,ila nikitumia wireless napata internet naombeni msaada kwa mwenye ujuz na hii kitu
  9. B

    Nina CCNA na MCP(MICROSOFT) certifications naomba .....

    Habari zenu wakuu!! Nina degree ya IT na pia nilijiendeleza kwa kusoma professional course za CCNA na MCP na kufaulu na kupata vyeti na ninaujuz wa kutosha baada ya hapo niliamua kufanya kazi ya kujitolea taasis fulani ili niongeze ujuzi zaidi sasa naona naweza kuingia kwenye hii dunia ya...
  10. B

    Naomba msaada laptop yangu ina window 7 inakataa...

    Habari zenu wakuu!! laptop yangu ni Lenovo g570 ilikua na window 7 ultimate 64 -bit,ilikorofisha nikaiformat nikairudishia window 7 ultimate 64bit,tatizo linakuja haikubali kuinstall baadhi ya programs kama office,adobe reader,na zingine nyingi pia ukiclick set up file inakua inaload kidogo...
Back
Top Bottom