Recent content by BANGULO

  1. B

    Usaili wa UTT Microfinance PLC

    remain to the point, usaili wa utt wa oral wa senior manager operation, senior hrm officer n senior risk and compliance officer vipi wana javin yamekwisha toka
  2. B

    Wanawake wa Kimarangu ni hatari

    Kaka yangu ni victim na Mke wa Kimarangu, yeye alipingwa Sumu kisa mkasa mali tu, yote uliyosema katika sehemu ya tatu umenigusa kweli kweli kwan Brother walimfanya kuwa mchaga wao kwake ndugu zake hawakutakiwa kwa kaka, Muda huu kuna Kesi kwan kuna Ujumbe toka kwa Mamaake kwenda kwa Shemeji...
  3. B

    Wanawake mlioko kwenye ndoa njooni hapa tujikumbushe kidogo....

    Good Moves,ila tatizo kubwa sana kwa wadada aka wake zetu wa karne hii namba 7( Kubagua ndugu wa Mme) ni tatizo kubwa sana na chanzo kikubwa cha familia nyingi kwan unakuta ndugu wa Mme nyumban hawatakiwi na wakiwepo kila siku utapewa kesi za uongo na ukweli ila ndugu wa Upande wake ndio wamejaa...
  4. B

    Ukubwa wa Maumbile ya Siri Wamkimbiza kwa Mume

    Ushauri, Ni vyema kuchunguzana kabla hatujakubali kujitoa katika ndoa zetu kwa wale ambao hawajaolewa. Ushauri gani huo unautoa yaan watu wafanye Uzinzi kabla ya Ndoa? hayo ni mambo ya kitabibu tu alipaswa akae na Mme wake wayaongee kasha waenda hospital kwa Ushauri
  5. B

    Kati ya mkibosho na mmarangu????

    Kuku Kuku tu Jogoo Jina
  6. B

    Mama Mkwe Jaman

    Napenda kujua nini hasa tatizo kwa Mabinti wa Siku hizi huwa hawawapendi Mama wa Mme wake, Nina Mfano hai mingi tu, Kijana unaishi vyema na upendo tu na ndugu zako huko especially Mama, Baba, Kaka na Dada zako, ila tatizo linakuja pale unakuja kuoa tatizo ndio ninaanza kwa Mkeo kuwachukia ndugu...
  7. B

    Nisaidieni, dushelele yake inaweza kukua tena?

    Usipate shida nitafute upate Dusheeeleelee ya ukweli Mama
  8. B

    Mke wangu ananilazimisha kulala bila nguo

    Wewe ulitaka akuambie nini sasa kijana, mkinyumwa Kidudu mnalalamika, siye wenzenu hizo nafasi za kugegeda kila siku hatuzipati
  9. B

    Any updated from NHC?

    Hawa Jamaa walitangaza kazi almost two month sasa, kuna mwenye taarifa zao kama wamekwisha ita watu kwa ajili ya Usaili
  10. B

    Nashukuru sijakuufoo sarooo, kwa heri go with peace

    Maisha Mapito sana " Wahenga walisema kuwa uone" hawakumaanisha Uone Magari au Majumba ni Mambo ya Wanaadamu, Pole sana , Mie yamewahi kunikuta zaidi ya hayo piga moyo konde songa mbele
  11. B

    Simuelewi wifi yangu

    Wengi wa Wadada siku hizi hampendi ndugu wa Mme hata kidogo, ukijiangalia hapo kwako lazima kuna ndugu zako ila hauwezi kuona tatizo wala kero, wewe kama kweli ni Muungwana Muelekeze pia mkabidhi hayo majukumu yake, angefika na kuanza kwenda jikon pia ungepiga kelele kuwa Wifi anakuingilia
  12. B

    PCCB kuna majina hayakuwemo kwenye Aptitude Test

    Tuache kulalamika Watanganyika wenzangu, tutambua kwenye maisha kuna kupata na kukosa, personally ninawapongeza sana PCCB walikuwa very transparent kwenye hili zoezi mie nina watu wamepata nafasi wakati hawamjui mtu hata mmoja. Tupambane tuaje Majungu na fitna
  13. B

    Kwanini wanawake tunaojimudu tunaogopeka?

    Mmmmh napita kichwa chin
  14. B

    Kwanini wanawake tunaojimudu tunaogopeka?

    Level of confidence ipo chini sana kutokana na kutojiamin either kutokna either na level ya Elimu au Pesa
  15. B

    Any updated from NHC?

    Wana jf kuna updated zozote toka NHC kwa post walizotangaza almost two months ago
Back
Top Bottom