Bado tume huru.katiba mpya.hapo ndio atakua ameleta madiliko ya kweli.mfano katiba imetafuna pesa nyingi.bila suluhu.na wahusika wachukuliwe kwa kutumia pesa bila lengo kutimia .wanajulikana wahusika.
Kweli wanawake wengi wana hii.ukimuahidi.mke kitu .bahayi mbaya ukakosa pesa .ukachelewa kumpa hicho alichokuomba.au ulimuahidi utakoma..ukitaka..Mara sijisikii.nimechoka.tena anafoka hatari.Mimi hua nakua mpole.kuchepuka sio Dawa .magonjwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.