Ukiona unaona hivo mkeo anagegedwa nje , hapa ni uhakika .
Pili kapige mzigo mbali Sana , tena mchepuko asikione na gari wala jina lako rasmi sikujue .
Hamna kipya chini ya jua , kama za bibilia tunazichambua na kudadisi uongo na kweli nikiwa muislam mbona cha kwetu wasiguze .
Propendrance ya kiuhalisia ni kudadavua Jambo na kueleweshana ,ndio kunaleta maelewano makubwa .
Hivyo kupinga issue isichunguzwe ,nikama kusema wanaume tusiyachunguze...
Unaelewa nini maana ya muujiza ?? Kama unaweza logically kuieleza huo sio muujiza .
Nina jamaa rafiki yangu mpendwa kabisa , enzi zile sisi ndio werevu chuo ila tulikuwa maskini wa kutupwa .
Tulipigika miasha kufikia kuchimba choo.
Hatukuenda hata ft 4 tulipata kipande cha dhahabu , ikumbukwe...
Kashifu yangu kuu na NGO's ni promotion ya ushoga na usagaji , mpaka leo nipo against hizo vices.
Hapo pa mishahara , usiposema au kuwaambia watu unaingiza kipato kipi watajuaje ??? Sio kila mtu anayekashifu ana wivu , kuna substantive issues at play.
Wana mazuri yao mengi na mabaya alike...
Msela unapiga ubwabwa na maharage au chipsi zege ukiwa wapi ??? Unamkashifu jamaa kapiga coup na kuondosha mamlaka na hatujui ww umeifanyia nini nchi hii . Vijana wa mjini 😂😂😂😂
Kisheria kama hakuna mkataba , unaweza kuacha kazi muda wowote au kusimamishwa bila taarifa, bila mkataba hakuna chochote hapo .
Nenda zako bila hofu.
Kiuhalisia hamna kitu kama inferred contract , kama hujaiba chochote na hudaiwi kitu ofisini usiwe na shaka.
Akiforce nyote mnakula hasara.
Tatizo lako na waafrika wanaofikiria kama wewe ni kuwa hampendi basic reading and research , ndio maana hamjui vumbuzi za weusi wenzetu.
Medicine , science , mathematics zote zilianzia hapa afrika .
Hyo touch ya simu unatumia , haingekuwa possible bila mtu mweusi kama wewe nenda karesearch...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.