kuna wimbo mmoja wa bongo flava miaka ya nyuma enzi za university corner...(sikumbuki waimbaji) ilikua chorus yake inaitikiwa "braza braza braza... sawa braza" kama kuna anaejua hata kidogo anikumbushe group au anaeujua anao basi auweke
Mwenye wimbo ule uliokua unaoneshwa ITV kipindi cha hawavumi lakini wamo WAZAZI WANGU BABA NA MAMA MNANIAIBISHA KILA SIKU KUGOMBANA GOMBANA.... SIO VIZURI!
Hiki kituo kiukweli bado kinahitaji kujipanga maana vipindi vyao pia haviendi na muda uliopangwa kwa mfano taarifa ya habari inabidi ianze saa moja na nusu ila utakuta inaanza hadi saa moja na dakika 37 au sports bar inaanza saa 4 lakin utakuta hadi saa nne na dakika ishirini bado hamna kitu...
Harakati halisi za hip hop kwa mtazamo wangu ni kama zinapitia kipindi kigumu sana japo naona watu wengi wameanza kuelewa na kukubali na kuipenda kwa dhati hip hop! Nadhani kungekuepo na programz nyingi ktk tv stations kama ile hip hop base zingesaidia sn watu kufaham hip hop,ila tunaona...
hapana! Buster hakua na wala hayupo wu tang,hiyo alipost ktk moja ya page zake ktk social networks hapo alikua anaonyesha tu kuappreciate uwepo na harakati nzima za wu tang clan!!
Ha ha ha
Babu yangu alishawahi kunisimulia habari za bwana batenga nikajua babu anataka tu aendelee kupata raundi nyingine ya bia (maana ni mnywaji na ana stori nyingi sana akishalewa) ila niliendelea kumsikiliza maana stori za huyo batenga ni za kusisimua mno,bahati nzuri leo nmekutana nazo...
makato ni kias gani, na mfanyakazi atakatwa katika mshahara wake au atalipa kwa namna kama ya mfanyabiashara..pia deposit ni asilimia ngapi na mpo mkoa gani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.