Huyo ndio Raymond Aidan, hajafa na ni mzima kabisa kamaliza BSc Telecoms na kina Aude, Atupele na Shega mwaka 2013. Mwaka wao ndio kulikua na mtu anaitwa Invokavit Munisi, huyo ndio alikua balaa zaidi
Ninachokiona hapo na kwa kulingana na udongo wa pale, naona kabisa kama Geotechnical investigations haikufanyika au kama ilifanyika basi Technical recommendations za Geotechnical report zilipigwa chini, watu badala ya kudesign foundation kulingana na recommendations basi watu waliamua kuprovide...
Hapa nimekuelewa sana yaani iwe kama University of California:
Unakuta UCLA - University of California Los Angeles
University of California - South California
University of California - Berkeley
Hivyo Ardhi, DUCE, Muhimbili vyote viwe ndani ya UDSM
Wapi nimesema sijaelewa?
Bandiko limewekwa nimeuliza ili kujua zaidi, kama kuna mtu anajua atajibu kama hujui kama kimya.
Kuuliza sio Ujinga ni kutaka kuelewa zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.