Recent content by bambo nchimbi

  1. bambo nchimbi

    Natafuta Mke wa kuoa

    Hpo mtaani kwao imeAngalia??? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. bambo nchimbi

    MSAADA KATIKA HILI

    Katika masuala yakuomba kazi Kuna kitu kinaitwa deadline au mwisho wakutuma maombi kwa mfano :deadline ni tarehe 22/8/2018 saa 9:30 alathiri, je ukituma tarehe hiyoo kabla ya Hayo masaa uko sawa???? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. bambo nchimbi

    WAKUU HABARINI ZA LEO;: NIMEKUJA KWENU WADAU SHERIA NIKIHITAJI MSAADA WAKISHERIA KUHUSU MIRATHI;

    NIANZE KWAKUSEMA BABA ALIKUWA NA WAKE WATATU ILA FAMILIA BABA ALIWEKA MIPAKA.BABA AMEFARIKI TAYARI MAMA WENGINE WAWILI YUPO MMOJA NA HUYO MMOJA AMESHA UZA KARIBU MALI ZAKE ZOTE LAKINI WATOTO WAKE WANATKA TUGAWANE MALI ZA UPANDE WA MAMA YETU TU ZA UPANDE WAO HWAZIPI MKAZO.ILA BABA ALISHA SEMA...
  4. bambo nchimbi

    Dar: Watu wawili wakamatwa kwa kuteka watu na kudai fedha

    AHSANTE jeshi la polisi kwa kazi nzuri
  5. bambo nchimbi

    VVU na UKIMWI: Historia yeke, chanzo cha maambukizi, dalili, kinga na juhudi za kupambana na ugonjwa huu

    Mkuu twende polepole ili tupone kinachotokea hpo nikupta kinga tu au tiba kabisa ??? Tunaulza hivyoo ili tujue maana tuna ndgu zetu ambao wanahaya matatizo,last time Kuna ndgu yangu wakike alipata mchumba shekhe akaja akafunga ndoa mama akamuliza mmepima akajibu Hpna wakaamuriwa walale pale...
  6. bambo nchimbi

    VVU na UKIMWI: Historia yeke, chanzo cha maambukizi, dalili, kinga na juhudi za kupambana na ugonjwa huu

    Mkuu kwanza kuishi naye sio tatizo hadi sasa kwa nilivyoo soma Uzi ila shida inakuja pale kwenye kile kinacho toa maana halisi ya mke na Mme, ila ukumbuke Kuna risk nyingi ukiacha tendo chamsingi hpo wewe usijali sana afya yako Bali Angalia zaidi Usalama Wa mtoto wewe utaweza kutumia KONDOM siku...
  7. bambo nchimbi

    Unawezaje kupata maambukizi ya UKIMWI kama unatumia kondom?

    Wakuu, Naombeni kufahamu ni mazigira gani yanaweza pelekea kupata maambukizi ya hivi ukiwa ili hali amevaa kinga. Nalenga kujifunza zaidi maana tahadhari ni nzuri zaidi.
  8. bambo nchimbi

    Dar: Chatu atikisa mitaa ya Sinza Kamanyola, wananchi wahofia maisha yao

    Wanaume Wa DAR KAZI KWENU,ILA INGEKUWA HUKU KWETU HATA NGOZI TUSHA ICHUNA NAKUZA.
  9. bambo nchimbi

    Nimemwona Wema Sepetu, nimeshangaa kwanini tuna mu-Over rate sana

    Kwa hiyo dhamani uliyo kuwa unampa umeitoa mkuu.
Back
Top Bottom