Recent content by bambi_

  1. bambi_

    Sio kila saa mwanaume anataka kufanya mapenzi

    Sio kila wakati mwanaume anataka kufanya mapenzi na sio kila wakati mwanamke hataki kufanya mapenzi. Hicho ni kitu nmejifunza hivi punde. Inasemekana kuwa wanawake hawapendagi ngono sana ila ni uongo. Kuna mida ikifika mwanamke anawaka moto na anataka kulala na mtu vibaya sana.Lakini pia...
  2. bambi_

    Sitakusahau mke wangu Maria, I swear to God!

    Soo sad yaan.. pole sana.
  3. bambi_

    Kwanini wanamke baadhi mnashindwa haya?

    Namba 10 kwkweli unazingua.. unalalamika nini sasa akati ukinyimwa tena unalalamika zaidi. Hahahahaha! Na ndio maana ukasema baadhi ya wanawake maana sio wote wako hvyo wale wasio hvyo kuna sabbu kwnn hawako kama hawa unaowaongelea. Tafuta wasio fanya hvyo waulize wananini ndo utapata jibu lako...
  4. bambi_

    Kinadada acheni kumsumbua Mungu

    Ni sawa wadada tumekuwa warahisi mno sku hizi. Lakini pia kumbukeni anyewafany wanawake wawe maskrepa ni nyie wanaume... Mimba wanapewa na nyie na ukimwi wanapewa na nyie nyie wanaume kwahiyo wanaume kwanza nyie punguzeni demand ya wanawake ndipo wanawake(supply) watapungua pia na yote hayo...
  5. bambi_

    Sitaki kulala (sex) nae mpaka ndoa lakini yeye haelewi hilo

    Nimuitaje sasa? My guy, my man au my waat? Bwana wngu ndio kiswahili ya yote hayo au kunamengine??
  6. bambi_

    Sitaki kulala (sex) nae mpaka ndoa lakini yeye haelewi hilo

    Nataka kujua kwanini hawezi kujizuia.. kuna nini nanyie wanaume mpka hamuwezi kukaa bila hiyo mambo
  7. bambi_

    Sitaki kulala (sex) nae mpaka ndoa lakini yeye haelewi hilo

    Hapo ndo anaponichosha mimi.. kisa kila mtu anafanya na yeye eti anataka afanye. Kashaambiwa na marafiki zake huko.. na marafiki zake ni kama hawa wahumu ndani wasiokubaliana na hali yangu ya kusubiri ndo maana...
  8. bambi_

    Sitaki kulala (sex) nae mpaka ndoa lakini yeye haelewi hilo

    Mimi silali nae mpaka anioe piga ua galagaza labda anibake na najua hawezi...
  9. bambi_

    Sitaki kulala (sex) nae mpaka ndoa lakini yeye haelewi hilo

    Ashawahi kudondoka mara mbili alikuwa mkoani akapitiwa akachepuka mara ya kwanza,alikuwa mkweli na akanieleza kila kitu, mara ya pili pia alikuja kuniambia nikamuelewa, huwaga ikiwa hivyo nasaidia kujifunza self-control na ndio maana mpka leo niko nae na hatuja sex coz huwa tunajitahidi...
  10. bambi_

    Sitaki kulala (sex) nae mpaka ndoa lakini yeye haelewi hilo

    Hahahahahahahaha! Good one my friend
  11. bambi_

    Sitaki kulala (sex) nae mpaka ndoa lakini yeye haelewi hilo

    Tena namuomba asubiri 2 zaidi
  12. bambi_

    Sitaki kulala (sex) nae mpaka ndoa lakini yeye haelewi hilo

    Huu ushauri ni mzuri sana. Nilimuomba mungu nikapewa huyu ila sasa anakamatwa na sjui mashetani gani.. anang'ang'nia mambo hataki kusubiri akati mwanzo alikuw tayari
  13. bambi_

    Naonekana na slugisha discussion kumbe

    Hapana sio kugea.. i thot unauliza kama kuonana maumbile. Point ni kwamba the girl ni bikra... Anataka asubiriwe mpka ndoa ndo ulale nae.
  14. bambi_

    Naonekana na slugisha discussion kumbe

    Mimi naona hili ndo jibu zuri kuliko yote. Nkajua yote yataendelea hivi hvi lakini... Aya ngoj niendelee kusubiri
  15. bambi_

    Naonekana na slugisha discussion kumbe

    Tusema asha wahi na kukofreshy tuu..
Back
Top Bottom