Kuna sababu nyingi za kutotaka kusubiri;
1) Kama mwanaume anaijua radha ya papuchi inanogaje kusubiri ni ngumu. Matamanio ya kuduu yanakuwa makubwa na huwezi kumzuia. Akikukubalia kusubiri jua anapiga wengine ili kupunguza joto la mihemuko na utaendelea kujidanganya kuwa mmekubaliana kusubiri wakati kiuhalisia unasubiri peke yako. Mwanaume anayeweza kusubiri ni yule ambaye hajawahi onja papuchi katika maisha yake tangu azaliwe, hilo ujue.
2) Tatizo jingine kwako ni kwamba tayari ulishamuonjesha hivyo kwa sasa kumuambia asubiri ni ngumu ni kutomtendea haki. Vinginevyo harakisheni ndoa ili asiendelee kujipooza kwa wengine.
3) Test before use theory. Kizazi cha sasa kinaitumia sana hii kanuni kujua mwanamke ananogaje, between legs pameumbwaje? Lakini wengine wameenda mbali zaidi kwa kutaka kujua kama mimba inaweza tengenezwa? Maana hili ni janga la dunia.
4) Lakini pia, vp ikitokea mtu kakuonjesha na ukavutiwa naye, si ndio unaweza kuniacha Mimi, provided hujui hata radha yangu? Hakuna kitu ambacho wanaume hatupendi kama kuwa dumped for another man tukiwa hatujawahi onja, hiyo ni mwiko na aibu.
Keep in mind this, " Mwanaume rijali hawezi kuvumilia kusubiri hata week". Labda kama yuko porini anafanya Kazi ya kupasua mbao, kuchimba na kupasua Mawe, kuchimba mitaro au Kazi yoyote inayomfanya kichwa kisitulie nk. Kinyume na hapo mnatafuta maradhi yasiyotibika. Cha msingi kama mko kwenye nafasi ya kufunga ndoa fanyeni hivyo haraka ili mufurahie nyuchi zenu kwa pamoja bila masharti mgumu.