Recent content by Baliovan

  1. B

    JamiiForums Tanzania Dawa ya vidonda vya tumbo kwa wale wanaosumbuliwa.

    Nahitaji dawa ya vidonda vya tumbo 0628565348
  2. B

    JamiiForums Tanzania Nimechoka na Mahusiano Yangu. Naomba ushauri

    Hana akili huyu mnunuza kichwa tu
  3. B

    JamiiForums Tanzania Nimechoka na Mahusiano Yangu. Naomba ushauri

    Huna akili unataka ushauriwe na nani amua wewe kama unaona anachokifanya ni sahihi endelea Nae ulipata wapi ujasiri wa kuoa mashangazi unaokuzid miaka 7 mbona hukuomba ushauri wkt mnatongozana
  4. B

    JamiiForums Tanzania "Wife material" ukichunguza kwa tafsiri ya wanaume walio wengi maana yake ni mwanamke "zoba"

    Yuko sasa wanaume kwel tunataka awe mjinga mjinga aone kila afanyalo mwanaume ni bora sana
  5. B

    JamiiForums Tanzania Kocha wa Taifa Stars jitafakari

    Awesu na kelvin walitakiwa wawepo
  6. B

    JamiiForums Tanzania Siku mbaya: Nimeanguka hapa Gongo la Mboto kituoni kisa kugombania gari ya Mnazi Mmoja

    Ulikuwa unagombania gari au ulikuwa unagombania kupanda gari
  7. B

    JamiiForums Tanzania Nifanye maamuzi gani kwa huyu mwanamke?

    Hawa wanawake bhana duuh kuna jamaa ni ticha juzi kati kakosa kufa na BP sababu ya mke yaani mke alikuwa anatoka na kishikaji ambacho kilikuwa kihawala cha binti wa huyo mama tena kimempa had mimba binti yake daah Yan ni hatareee ticha BP ilipanda had akawa anatoka had damu puani ikabidi serkal...
  8. B

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Mpenzi wangu ni mkimya kupita kiasi

    Unataka muongeaji kamuoe Ahmed ally wa simba
  9. B

    JamiiForums Tanzania Nimelima nyanya heka 1 nimepata faida ya Tsh. Milioni 9 ndani ya miezi minne

    Acha uongo sema ulilima shamba la ukubwa gani
  10. B

    JamiiForums Tanzania Wiliaya gani Mwanza naweza kulima mpunga?

    Nenda misungwi ndio utakutana na mashamba makubwa
  11. B

    JamiiForums Tanzania Mwanza: Natafuta kiwanja Mwanza Kwa budget ya tsh 5M hadi 7M

    Boss nenda buswelu au kisesa ndio maeneo ambayo sahiz miji inakuwa Fasta sana ukiweza nicheki nikuunganishe na mtu anayehusika na viwanja anavyo vingi sana na vimepimwa nikuchagua wewe tu
  12. B

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kuanzisha biashara ya dagaa kutoka Mwanza - Dar, natafuta soko la bidhaa yangu hii

    Nipo kisiwani huku ndugu kwa sasa bei ghali mnooo had walaji wanaziogopa sahizi
  13. B

    JamiiForums Tanzania Alinipenda akanionesha kila dalili, wamemuoa

    Yaani unaandika maelezo mengi kumbe mpuuzi tu
  14. B

    JamiiForums Tanzania Nimepigwa hard disk speed ni ndogo sana, tusiwe na haraka tuchukue muda kuzikagua kuepuka huu upigaji

    Had disk inahusiana nini na speed au unazungumzia RAM
Back
Top Bottom