MUNGU WANGU!
Huyu dada kakamatwa na kuachiwa?kuna jamaa yangu alimuingiza mjini na kulamba mshiko wake laki 5 cash,baada ya kujifanya kuwa yeye ni afisa usalama toka tanesco akimutuhumu kuwa walimuunganishia umeme kinyume cha utaratibu na kumuonyesha hati ya mashitaka feki kuwa alikuwa tayari...
Majibu kwa wote..ndani ya hiyo meter ya luku kuna line (simcard) ya mtandao wa vodacom. Line hiyo ndo uwa inafanya mawasiliano na server ya vodacom kwenda tanesco.
Huyu jamaa ameanzisha somo ambalo kamwe wanafunzi hawawezi kufaulu mtihani.,kwa vigezo vifuatavyo.
1.Kuna aina nyingi za madish na ufungaji wake,kuna mwanafunzi anaweza kushindwa hata kuunganisha dish tu.
2.Kuna aina nyingi sana za Satellate Receiver na kila receiver ina installation...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.