Recent content by balili

  1. balili

    Changa la macho: Wallace Karia na Michael Wambura “sielewi-elewi”

    Mami yake weee Mzee umerudi khaaaa
  2. balili

    Mwanza: Fiesta yasababisha Mechi ya Simba na Mbao kuchezwa Alhamisi

    Uwanja Mmiliki wake anafanya biashara jengeni viwanja vyenu kama zilivyo timu za huko majuu mnapofananisha then tuone kama fiesta iwafuata kwenye hivyo viwanja vyenu....mbona hatujawai kusikia tamasha ama fiesta uwanja wa azam Sent using Jamii Forums mobile app
  3. balili

    Nini kazi ya Mkurugenzi wa Ufundi pale TFF?

    Moja ya nguzo katika mpira ni idara ya ufundi maana hii ndio inatoa directions yote ya Mpira wetu ili uendelee unapaswa kupitia program zipi, kuanzia za copa coca cola zile zinazohusu vijana pia wao ndio co ordinator wa mashindano yote Sent using Jamii Forums mobile app
  4. balili

    TCU acheni ubaguzi - IAA Mwanza ni gereji

    Mimi sijakuuliza masomo yanaanza lini ,uongo wako wa kusema chuo cha Mipango kituo cha Mwanza wanatoa degree wakati sio huo ni upuuzi nakifahamu vyema chuo cha Mipango na nimefanya nao kazi sana....hakuna degree programe inayotolewa kituo cha Mwanza, kiufupi Chuo cha Mipango kina Degree programs...
  5. balili

    TCU acheni ubaguzi - IAA Mwanza ni gereji

    Kumbe we ni poyoyo aisee yaani hata tangazo umeshindwa kulisoma a linaonyesha mwaka wa masomo 2017/2018 acha kupotosha watu narudia degree zote za chuo cha Mipango zinatolewa main campus tu Dodoma, kituo cha Mwanza ni Certificate na Diploma tu acha uzwazwa tembelea website ya chuo www.IRDP.ac...
  6. balili

    TCU acheni ubaguzi - IAA Mwanza ni gereji

    Hilo ni Tangazo la Chuo Cha Mipango Mwaka huu Kituo cha Kanda ya Ziwa nionyeshe wapi wameonyesha wanatoa Degree programe nimekuambia post yako ya kijinga Jinga ya kuja kudanganya watu acha Sent using Jamii Forums mobile app
  7. balili

    TCU acheni ubaguzi - IAA Mwanza ni gereji

    Sent using Jamii Forums mobile app
  8. balili

    TCU acheni ubaguzi - IAA Mwanza ni gereji

    Watu wamechukua CPA kwa kujisomea sehemu mbovu kabisa na leo wanatambulika kama Certified Public Accountant na wapo katika ngazi kubwa kabisaa eti majengo ndio yazuie ubora wa elimu??tena elimu ya juu??unataka kila chuo kiwe na Hostel??yaani chuo wasifililie kuajiri walimu na wataalamu wa...
  9. balili

    TCU acheni ubaguzi - IAA Mwanza ni gereji

    Then ni upuuzi eti kutokua na Hostel khaa UDSM yenyewe hostel haziwatoshi na chuo kimeanzishwa enzi za mkoloni huko...Chuo sio Hostel inaonekana ni kile kizazi cha UDOM kinachozani elimu ni majengo huku kichwani wakiwa zero Sent using Jamii Forums mobile app
  10. balili

    TCU acheni ubaguzi - IAA Mwanza ni gereji

    Acha uongo degree programme zote za Chuo cha Mipango zinatolewa main campus Dodoma tu...Mwanza ni Diploma na Certificate Sent using Jamii Forums mobile app
  11. balili

    Yanga ipo mbioni kumsainisha kiungo machachari "fundi,mnyumbulifu" kutoka zesco

    Yanga hiajawai kucheza na Zesco na wala huyp sio mchezaji wa Zesco Huyo ni mchezaji wa Zanaco
  12. balili

    Maalum kwa wanaohitaji kusafiri: Aina ya usafiri, bei za nauli, tahadhari za kuchukua

    JM luxury ndio the Best mwendo makini ,confotable ikiwahi kufika shy kabla ya SAA tatu usiku mtalala Mwanza ikichelewa kuanzia SAA NNE mtalala Shinyanga then next day by SAA tatu upo Musoma.
  13. balili

    Tigo yawatega Washindani wake

    Tia Utiwe
  14. balili

    MO anataka Simba imlipe Bilioni 1.4

    Ana haki maana mkataba na makubaliano ni yeye Mo kumiliki asilimia 51 sasa unaendaje kuingia mkataba wa udhamini kwa miaka 5 bila kumshirikisha?wakati huo kishika uchumba karibu mwaka mzima analipa mishahara ya wachezaji na watumishi more than One B per year,kama akipewa timu na yeye akawekeza...
  15. balili

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Watatuua Hawa sportpesa kwa hizo odds
Back
Top Bottom