Watanzania bwana, wewe unapinga uwepo wa rasimu ya katiba mpya wakati huohuo umechaguliwa
kwenda kuijadili. Rasimu ni ya katiba ya jamhuri ya muungano halafu wewe unasema hutajadili muungano,
kwa hiyo unaenda kuanzisha rasimu yako na kuanza kuijadili? Nina wasiwasi na waliokupendekeza,
kama...
Pamoja na kuishi kwa wazungu akili zako bado ni kama mchungaji ng'ombe, nimekubali
kwamba unafanya kazi ya Uyaya, hebu mtawaze mtoto haraka kajisaidia usije kufukuzwa
kazi. Sasa nakubaliana na wanaosema ulitafuna rambiranbi ya mjane, kama b7 inakutoa
Akili hivyo.
i
Acha kulialia dogo, fikiria kutengeneza maisha ya watoto kama Mungu atakujalia ili nao wasije wakapata majuto kama
yako. Bill Gate aliulizwa kwamba, mbona anatoa tip ndogo akihudumiwa kuliko ile anayotoa mtoto wake? Alijibu, yeye nni mtoto wa mkulima lkn mtoto wake babake ni tajiri. Nadhani...
Mambo ya sijui kitchen party, send off, bag party ndio yanaleta complications,
mkitaka kupunguza gharama piga vyote kwa mpiga. Maana kidume aki-anticipate s/off itakua
bomba anachanganyikiwa na kutaka kujitutumua ili asiaibike na kusutwa. I mean pressure
zinatoka kwa akina asnam hao. Otherwise...
Du nimemwona akingizwa kingi na wahuni naye Kanasa, kidoplonasia balozi hatakiwi kujingiza
kwenye mambo ya ndani ya nchi anakowakilisha hasa mambo ya siasa. Nilidhani wachina wame elimika, kumba
kuna baadhi ni weupe kichwani
Umeandika kwa hasira sana, lakini uko sahihi sana. Viongozi wetu wamejaa porojo na unafiki mtupu. Wewe unaimarisha
Green Guard halafu unakemea Red Brigade utaeleweka na kuaminika?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.