Recent content by bali

  1. B

    Matunda haya mnayafahamu?

    .Haya kwa kiswahili yanaitwaje? Matunda Damu!
  2. B

    Kwa nini wanyakyusa wana sura ngumu hivi?

    Huyu jamaa nadhani anatafuta mchumba wa Kinyakyusa, hivyo amekuja kwa njia ya kukandia ili ajua wanyakyusa ni akina nani iwenye JF- mmu
  3. B

    Kwanini Nyerere hakutaifisha seminari za Katoliki?

    Zipo zilizokua za makanisa mengine kama Njombe Secondary (NJOSS) ilikua ya Lutheran
  4. B

    Nimependekezwa bunge la katiba

    Watanzania bwana, wewe unapinga uwepo wa rasimu ya katiba mpya wakati huohuo umechaguliwa kwenda kuijadili. Rasimu ni ya katiba ya jamhuri ya muungano halafu wewe unasema hutajadili muungano, kwa hiyo unaenda kuanzisha rasimu yako na kuanza kuijadili? Nina wasiwasi na waliokupendekeza, kama...
  5. B

    Hivi ni kweli mh. Freeman mbowe na dr. Slaa ni madikteta?

    Unataka kui-import wa kuwatawaza, kweli wewe ni professional Yaya
  6. B

    Hivi ni kweli mh. Freeman mbowe na dr. Slaa ni madikteta?

    Pamoja na kuishi kwa wazungu akili zako bado ni kama mchungaji ng'ombe, nimekubali kwamba unafanya kazi ya Uyaya, hebu mtawaze mtoto haraka kajisaidia usije kufukuzwa kazi. Sasa nakubaliana na wanaosema ulitafuna rambiranbi ya mjane, kama b7 inakutoa Akili hivyo. i
  7. B

    UZURI WA MWANAMKE NI NINi?

    Decolonization of the mind. Yaani umeshindwa kupata picha ya dada mzuri wa sura Muafrika mpaka uweke ya 'msungu'?
  8. B

    Lukuvi anayumbisha serikali ya JK

    Ukiwa CCM hata kama unadegree kumi unaziweka mfukoni kwanza ndio unaweza kufanyakazi. Si mnamwona Prof. Mwongo anavyo ongea
  9. B

    Wadada warembo wanapenda mambo safi tu,, Hardworker tunaotoka Familia Duni tunakomaje

    Acha kulialia dogo, fikiria kutengeneza maisha ya watoto kama Mungu atakujalia ili nao wasije wakapata majuto kama yako. Bill Gate aliulizwa kwamba, mbona anatoa tip ndogo akihudumiwa kuliko ile anayotoa mtoto wake? Alijibu, yeye nni mtoto wa mkulima lkn mtoto wake babake ni tajiri. Nadhani...
  10. B

    Wanaume, acheni kupagawa na kujitutumua kwenye size zisizowatosheni!

    Mambo ya sijui kitchen party, send off, bag party ndio yanaleta complications, mkitaka kupunguza gharama piga vyote kwa mpiga. Maana kidume aki-anticipate s/off itakua bomba anachanganyikiwa na kutaka kujitutumua ili asiaibike na kusutwa. I mean pressure zinatoka kwa akina asnam hao. Otherwise...
  11. B

    China, adui wa maendeleo na Demokrasia Tanzania! Balozi avaa kofia ya CCM

    Du nimemwona akingizwa kingi na wahuni naye Kanasa, kidoplonasia balozi hatakiwi kujingiza kwenye mambo ya ndani ya nchi anakowakilisha hasa mambo ya siasa. Nilidhani wachina wame elimika, kumba kuna baadhi ni weupe kichwani
  12. B

    Ningependa rais wa Tanzania ajaye awe wa aina hii (urais ni taasisi lakini ina kiongozi wake)

    Inawezekana japokuwa inahitaji kujitoa kwa ajili ya wengine
  13. B

    Kinana: CHADEMA wana potosha maana ya 'nguvu ya umma'

    Usimlaumu ndio uwezo wake wa kufikiri ulipogota. Nasikia hayo ndio mafunzo ya Green Guard
  14. B

    Mkapa: Wapinzani bado ni wachanga kuwapa Ikulu!

    Anaweweseka sababu anajua safari ya kuindolewa kinga na kushitakiwa ndio imefika. Atulie tu na asubiri kunyolewa
  15. B

    Kikwete: Nalaani CHADEMA kutaka kutengeneza kikundi cha Kujilinda

    Umeandika kwa hasira sana, lakini uko sahihi sana. Viongozi wetu wamejaa porojo na unafiki mtupu. Wewe unaimarisha Green Guard halafu unakemea Red Brigade utaeleweka na kuaminika?
Back
Top Bottom