Nimependekezwa bunge la katiba

Nimependekezwa bunge la katiba

Hizo serekali 2 ni ipi na ipi?au ni kama zile serekali2 za magamba ya mapinduzi na ya muungano bila ya kuwepo serekali ya Tanganyika?.

Tanganyika na Zanzibar, habari za muungano mimi sizifagilii kabisa.
 
Uwazi wa mikataba ya nchi. and full disclosure of the previous ones china walitusainisha mikataba 17 kiaina

limefika mkuu, sala zako ndo muhimu.
 
Ngoja kwanza nipitie wasifu wako hapa JF kwa kurejelea sredi zako zote zilizopita...

Will be back...

nani kakudanganya wasifu wa wanajf ni wa ukweli? wewe unaitwa watu8 au usanii tu.
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli ila ukianza tutangazia msimamo wako, nasisi tulio upande wa pili, siyo kwamba hata tukikupa maoni yetu itakuwa sawa na kutwanga maji kwenye kinu kwa vile wewe unamsimo wako tayali?

kwa hiyo unataka mawazo yangu akayawasilishe nani?
 
hakuna kitu hapo kwa wewe na waliokuchagua, hivi unaua nafasi ziko 6 tu? halafu tusidanganyane, kwa nini tukuombee wewe tu hao wengine je? na ukweli ni kwamba unakwenda kwa ajli ya UHACHA

asante kwa mtizamo wako.
 
wanajanvi, mungu akipenda basi nitawakilisha bunge la katiba, jina langu ni moja ya majina yaliyopendekezwa na kundi langu kuwakilisha. Hivyo nikiwa kama mwanajf naomba sala zenu na hata ikibidi matambiko ya kimila ili niweze kuingia na kutetea masilahi mapana ya watanzania, niwaahidi tu nikifanikiwa msimamo wangu juu ya muungano utakuwa ni wa serikali 2 huru kwanza na suala la muungano litajadiliwa na nchi husika zikiwa huru na kama itaonekana kuna umuhimu basi tutaungana baadae, hakuna haja ya kulazimisha kuungana kama kuna pande haitaki na ikibidi basi tutaungana na zanzibar katika shirikisho la afrika mashariki zikiwa nchi huru.



Watanzania bwana, wewe unapinga uwepo wa rasimu ya katiba mpya wakati huohuo umechaguliwa
kwenda kuijadili. Rasimu ni ya katiba ya jamhuri ya muungano halafu wewe unasema hutajadili muungano,
kwa hiyo unaenda kuanzisha rasimu yako na kuanza kuijadili? Nina wasiwasi na waliokupendekeza,
kama wajumbe wengi watakua wa aina yako basi hilo bunge la katiba ni majanga
 
Najua watu kama nyie ndo mmepandikizwa ili mkaharibu bunge la katiba..hatimae tukose katiba mpya. Ushindwe na ulegeee!
 
Wanajanvi, Mungu akipenda basi nitawakilisha Bunge la Katiba, jina langu ni moja ya majina yaliyopendekezwa na kundi langu kuwakilisha. Hivyo nikiwa kama mwanajf naomba sala zenu na hata ikibidi matambiko ya kimila ili niweze kuingia na kutetea masilahi mapana ya watanzania, niwaahidi tu nikifanikiwa msimamo wangu juu ya Muungano utakuwa ni wa serikali 2 huru kwanza na suala la Muungano litajadiliwa na nchi husika zikiwa huru na kama itaonekana kuna umuhimu basi tutaungana baadae, hakuna haja ya kulazimisha kuungana kama kuna pande haitaki na ikibidi basi tutaungana na Zanzibar katika shirikisho la Afrika mashariki zikiwa nchi huru.

Naona hujielewi mkuu. Rasimu ni katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ila wewe unaenda kudai Serikali Mbili huru...?! Halafu hayo ndio mawazo ya hao unaowawakilisha au ni mhemuko wako wa kisiasa?!

Unataja Mungu na bado unataka matambiko ya kimila?! Hilo kundi ulililopendekezwa kuliwakilisha limepata hasara. Kama bunge la katiba ndio mnaenda watu wa namna hii naona tutabaki na katiba ile ile ya zamani.
 
Nasikia harufu ya katiba ya zamani kama mulugo type watakuwa wengi bungeni ma div 5 wataongea kizombi kama hawatapewa nafasi ya kumchora zombi kwa kuwa wanaamini ktk zombi watafaulu
 
Mkuu hongera sana, mimi ni mmoja wa waliopendekezwa pia, na imani nitapitishwa niisaidie nchi yangu. Inatia imani kuona ninavyoaminika na watu
 
kwani wewe unafikilia maoni ya serikali tatu niya warioba ni ya wananchi waliyo wengi msimchikie wala kumulaumu warioba. Nyiemagamba vipi!!??!
 
Kwa hiyo unapeleka mawazo yako binafsi? Kama ni hivo namwomba jk asikuteue kuwa mjumbe wa bunge la katiba! Hufai... Hata kidogo!
 
Mkuu hongera sana, mimi ni mmoja wa waliopendekezwa pia, na imani nitapitishwa niisaidie nchi yangu. Inatia imani kuona ninavyoaminika na watu

kama wewe na huyo jamaa ndio mlipendekezwa kumbe wapendekezaji huwa wanapendeeza akili fulani hivi, oups!
 
Wanajanvi, Mungu akipenda basi nitawakilisha Bunge la Katiba, jina langu ni moja ya majina yaliyopendekezwa na kundi langu kuwakilisha. Hivyo nikiwa kama mwanajf naomba sala zenu na hata ikibidi matambiko ya kimila ili niweze kuingia na kutetea masilahi mapana ya watanzania, niwaahidi tu nikifanikiwa msimamo wangu juu ya Muungano utakuwa ni wa serikali 2 huru kwanza na suala la Muungano litajadiliwa na nchi husika zikiwa huru na kama itaonekana kuna umuhimu basi tutaungana baadae, hakuna haja ya kulazimisha kuungana kama kuna pande haitaki na ikibidi basi tutaungana na Zanzibar katika shirikisho la Afrika mashariki zikiwa nchi huru.

jokuwa wazo lako halitashinda, ila una haki ya kuikilizwa.............kila laheri,nakuombea mizimu ikulinde
 
Na mimi pia nimechaguliwa kila mtu amechaguliwa. Taja jina wewe acha maneno
 
Back
Top Bottom