Uko sawa...wakati mwingine ukifikiri sana...hayana maana...unahangaika mpaka .what rewards do u get from this thing called life...nothing...the the very best reward as far as i know......is death ..its not fair....how is that possible...why do we have to die...why are we here...why do we have to...
Mm Kama n finger print walichukua kwa kutumia smartsimu zao,na laini inasema usajili umekamilika, wanataka finger print za nn Tena, au wanahakiki idadi ya vitambulisho?? Yaan kuangalia kuwa walivyotengeza na vilivyobaki n sahihi???
Ni wazo tuu, kwa upande wangu ninafikiri kwa Kodi wananchi wanayolipa, serikali ingegawa copy ya katiba kwa Kila kaya, hi ingesaidia wananchi Kama s wote kujua Haki zao za msingi...nafikiria kwa upande wangu lingekuwa Jambo la msingi,nawasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.