Nadhani ingekuwa vyema ukaleta na ushahidi kwa hili.
Personally, last year mama watoto wangu alienda Kujifungulia kijijini kwetu Mkoani Kagera.
Hakutozwa pesa yeyote & plus alikwenda na Delivery Kit binafsi.
Walitumia items zao na kurudisha vyake.
Nadhan inabid ifikie hatua tufikirie kabla hatujatoa matamko yetu mbele za watu.
Hii hoja ya kusema kuna haja ya 80% wapunguzwe kwnye ajira za serikali na wabaki na 20% ni hoja isiyokuwa na lengo la kutengeneza mazingira rafiki katika jamii.
Kiutawala RC na DC ni "ceremonial titles" ambazo mtu...
Pongezi nyngi kwa Serikali ya awam ya Tano ikiongozwa na JPM kwa uthubutu wa kuzinunua hizo ndege.
Private Air companies walizid kwa maringo mno hadi kuweka Sky Cafe ya kulipia wakati umelipa nauli.
Ni matumain yngu ndege hzi pindi zitakapoanza kutoa huduma ya usafiri wa anga zitasaidia kukuza...
The Afro American boxing legendary who was well known in 70's for his boxing fighting technique while on ring has died at 74 recently in Arizona after fighting for his health in hospital.
He had respiratory problems.
Bondia wa Siku nyingi na Raia wa Marekani, Muhammad Ali amefariki akiwa na umri wa miaka 74 katika hospitali ya Phoenix katika jimbo la Arizona. Chanzo cha kifo chake ni matatizo ya upumuaji uliosababishwa na ugonjwa wa Parkinson. Ugonjwa huo aligunduliwa kuwa nao mwaka 1984.
Legend Mohamod Ali...
Muda si mrefu Mbunge wa Jimbo la Ilala, ndugu Musa Hassan Zungu ameteuliwa rasmi na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa tena Mwenyekiti wa Bunge hilo kwa mara ya pili.
Ikumbuke Zungu aligombania nafasi ya Naibu Spika ila hakufanikiwa.
Updates zinafuatwa..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.