Recent content by bajok

  1. bajok

    JamiiForums Tanzania Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Kaka Mshana Jr habari za majukumu. Ninaomba sana kuwasiliana na wewe mkuu, nimejaribu PM sijafanikiwa, tafadhali sana mkuu nina jambo. Asante
  2. bajok

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kuku

    Wadau bado ninahitaji msaada wenu wa mawazo, Karibuni. [emoji120]
  3. bajok

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kuku

    Shukran [emoji120]
  4. bajok

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kuku

    Nashukuru mkuu, nitazingatia
  5. bajok

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kuku

    Habari wadau, Naombeni msaada wa mawazo, Ninafikiria kuanzisha biashara ya kuuza kuku (hai) katika mkoa wa Dar es salaam. Mfumo niliofikiria kuutumia ni wa kutengeneza banda la nyavu kwaajili ya kuwaweka kuku 1. Je, ni eneo gani linaweza kuwa sahihi kwa kufanyia biashara hii? 2. Ni mambo...
  6. bajok

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu umeme wa solar

    Habari wadau, Kwa solar ya wat 30, battery N18, ninaweza kutumia hizi Tv ndogo (12V) ya inch 15 ya sola, pamoja na kingamuzi cha Azam?
  7. bajok

    JamiiForums Tanzania Tatizo la invetor na battery ya sola(Umeme)

    Ndio, ila ningependa kufahamishwa pia, Pengine ni swala linalotatulika
  8. bajok

    JamiiForums Tanzania Tatizo la invetor na battery ya sola(Umeme)

    Ahsante, Kwanini unasema local mkuu!
  9. bajok

    JamiiForums Tanzania Tatizo la invetor na battery ya sola(Umeme)

    Habari za leo wadau, Nombeni msaada kwenye hili, nina invetor watt 150, battery (sundar N18) na panel sundar watt 30 na nimetumia waya wa 1.5mm kutokea kwenye sollar panel kuleta umeme kwenye battery. Nimekuwa nikiitumia vizuri kwa kucharge laptop yangu, au simu na kutumia taa 2 (watt 1) bila...
  10. bajok

    JamiiForums Tanzania Nina Milioni 45, msaada wanaJF

    1. Jenga vyumba vya wapangaji, 2. Chukua ml5 nunua machine 5 za kupukuchua mahindi tafuta vijana waingie vijijini mlimba na tanga kuendesha hzo mashine then walete malengo.
  11. bajok

    JamiiForums Tanzania Kwanini ofisi ya DPP wanatuona Watanzania ni wajinga na Vilaza? Huyo mwizi kaibaje computer kwenye ulinzi wa CCTV na jeshi lenye SMG & AK47

    Tupo hapa kwaajili ya kupeana uelewa sio kumjua mwenye akili na asiye na akili, kama sio yeye kuleta hiyo mada ungemfahamu vipi huyo unayesema ana akili??
  12. bajok

    JamiiForums Tanzania Ice cream ya ukwaju ya Bakhresa inapendwa na watu lakini kile kifungashio chake ni janga

    Waliokataza rambo wanafahamu pia kuna ukwaju, so waachie kazi yao, bongo ukileta uzalendo sana utakufa na njaa zako, lets go fanya unachoweza even if ni haramu mtakutana mbele ya safari huko[emoji51][emoji51][emoji51]
  13. bajok

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna mwanamke ambaye yuko tayari kufanya harusi ya namna hii?

    Lengo la kuoa ni kuwa na familia mengine fanya kama ikibidi
  14. bajok

    JamiiForums Tanzania Wakuu mimi mlalahoi nipeni mbinu na fursa nitokee kwenye sadc mkutano.

    Chukua ukwaju wa backresa utauza mno
  15. bajok

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada kuhusu biashara ya kuuza na Kubadilisha gesi

    Haya maswala ya #nitafute bila shaka itakuw ni network marketing[emoji848]
Back
Top Bottom