kama imetokea kweli it was not fare.maana mandela kasameh wooote ila c mkewe.ikimaanisha mke au mume ni mchungu kuliko jicho.but kama kweli changamoto basi watz tunafeli kwa kupanic haraka.hatufai hata kuwa mawakili au majaji wa dunia.maana unaweza ukakutana na kesi ya ajabu halafu ukaharibu kwa...
swala c kuvunja muungano.bali swala ni kukaa na kuangalia nini znz wanataka.tatizo linakuja hapa!
a.tra,hv inakuaje mmeshasema muungano halafu mtu atoke znz alipie ushuru halafu akifika dar nao alipie ushuru.sasa kwanini isiwe ukilipia upande mmoja inatosha?ndomana wanaona bora uvunjike!
b.kama...
kwa kweli jamani bora wenger aondoke.maana tushachoka.yaani kutoka kugombania nafasi ya kwanza mpaka tunagombania ya nne.its acceptable kwa kweli.dawa yake kutumiwa jini tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.