Recent content by Baitila Omungalo

  1. Baitila Omungalo

    Mabadiliko ya DED yapo tayari. Huyu wa Mafia, bwana Erick Mapunda atapona?

    DED wa Nzega DC hana shida huyo na wala tabia hizo hana. Mwenye tatzo ni yule TD wa mji anaitwa Philemon Magesa. Huyu jamaa ni kichomi haswaaa. Hafai kabisa.
  2. Baitila Omungalo

    Zitto: Ulidanganya Geita wanakuhitaji, leo umekiona cha moto

    Kumbe mtu mwenyewe alieandika ni Alphonce Mawazo msukule wa familia ya kifalme ya Tengeru kwa Mtei! Bahati nzuri mi nilikuwepo kwenye mikutano yote. Mbona hayo unayoyasema hayakuwepo? Tofauti na wale vijana wako kama kumi uliokuwa umewaandaa ili walete vurugu lakin wakaogopa kufanya fujo hizo...
  3. Baitila Omungalo

    Nguvu kubwa yatumika kumfanya Zakayo Chacha Wangwe asiwe kiongozi wa CHADEMA Tarime

    We ni taahira kwelikweli. Yeye ataujuaje ukweli wakati hakuwepo kwenye eneo la tukio? Acha kuropoka wewe.
  4. Baitila Omungalo

    Prof. Anna Tibaijuka anafaa kuwa Rais wa Tanzania

    Kati ya mataahira wewe ni chimbuko lao. Unatuwekea uharo humu.
  5. Baitila Omungalo

    Mbowe achukuliwa fomu ya kugombea uenyekiti CHADEMA na wazee wa Kigoma

    Na hiyo ndio maana halisi ya CHAGGADEMA. Kama hutoki kaskazini au hujaoa kwa Mtei huwezi kuuchukua uongozi wa SACCOS hiyo.
  6. Baitila Omungalo

    Mbowe achukuliwa fomu ya kugombea uenyekiti CHADEMA na wazee wa Kigoma

    Ya CCM ni miaka 10 kwa vipindi vya miaka mitano mitano.
  7. Baitila Omungalo

    Ikulu yamtaka Askofu Kakobe aache porojo!

    Yeye kama nani? Mwambie huyo mzee wenu aache porojo zake, hana hoja za kutwambia hapo, ni uharo mtupu.
  8. Baitila Omungalo

    Press conference ya ACT-Tanzania

    Kama itakavyokuwa kwa CDM.
  9. Baitila Omungalo

    Msigwa mbaroni Iringa, Apandishwa Kizimbani

    Mbona walipojkuwa wanamlinda padri slaa hamkuwaita poliCCM huko Kigoma? Leo ndo wamekuwa wabaya? Acha ukinyonga wewe, tumia akili kabla ya kuandika, usikurupuke.
  10. Baitila Omungalo

    Mavazi katika ofisi za Umma: Utumishi watoa mwongozo

    hijabu sio vazi la dini fulani ila kila mtu anavaa na ndilo vazi pekee lenye kumsitiri mwanamke vizuri. unapozungumzia hijab unazungumzia wanawake wa kiislaam, je mavazi ya kikristo si ndio hayo yasiyokuwa ya hijab? wakristo wasivae skirt na blause vilevile waislaam wasivae hijab tuone ni nguo...
  11. Baitila Omungalo

    Mapokezi ya CHADEMA Kigoma Yamshangaza Lema

    walipotua kwa chopa yao hawakukuta mtu pale uwanjani mwanga, Huyu min kabaang aache uongo wa wazi. cdm kwa kigoma haina kitu kule na wala hawaihitaji hata kidogo wana kigoma. Muulize hata gari la kuja kuwabeba lilifika muda gani baada ya wao kutua? Mwambie waweke hata picha moja ya mapokezi...
  12. Baitila Omungalo

    M4C-OPD ndani ya Geita - Jan 27, 2014

    Kama alivyoshambuliwa zzk na hao zero brain.
  13. Baitila Omungalo

    M4C-OPD ndani ya Geita - Jan 27, 2014

    :drum:dj Mbowe kafie billicanas sio huku kwetu geita.
  14. Baitila Omungalo

    M4C-OPD ndani ya Geita - Jan 27, 2014

    Hatumtaki huku kwetu geita. Akija yatamkuta ya padri slaa huko kasuru.
  15. Baitila Omungalo

    Mbunge Lema Anena ya Moyoni

    watu wenye akili timamu hawawezi kumchagua mtu kama Lema. Wana Arusha wote waliomchagua ni wehu. Utamchaguaje chizi? :angry:
Back
Top Bottom