Recent content by baiser

  1. baiser

    Ulalamishi kuhusu wabara kupata ardhi Zanzibar

    Ameandika ujinga tu huyu mwenzetu ,wee unaona sawa wao waje wanunue ardhi na wamejazana kila mahara lakini sie tusiwe huru kununua ardhi kwao ?yaani na sawa na mtu awe anakula kwenu kila siku ila wewe ukitaka kwenda kula kwao hataki ,sasa si ungese huo
  2. baiser

    Kwa hili la Muungano Hayati Karume alimzidi ujanja Hayati Mwalimu Nyerere

    Ni kweli huu ni muungano gani ? Kwanini kusiwe na raisi mmoja tu na nchi ibaki Tanzania ? Fikra zao wao ziliishia kufanya hayo lakini sisi inabidi tubadili hayo tubaki na Tanzania
  3. baiser

    Manispaa ya Kinondoni imefanya jambo kubwa sana kuongeza English medium primary school za ada nafuu

    Ni jambo jema sana sana nadhani kila kata ingekuwa na shule moja ya English medium ingesaidia sana sana
  4. baiser

    Mtumishi unayepokea mshahara 1.5m kwa mwezi unapanga na unamiliki usafiri wa gari, hawezi kutoboa maisha utastaafu unatumikishwa tu

    Leo tumezika kijana ana miaka kati ya 33-37 kwa kufeli figo ,Wakati tukifundisha saving tusisahau kuishi Mie nilipothibitishwa tu kazini nikazama benki kuchukua changu kabisa na sijawahi kujuta sababu hela ilinisaidia kumaliza ujenzi na kununua mashamba
  5. baiser

    office container

    Aisee hiii ni bei gani ku install
  6. baiser

    Hivi huku Mbweni wanaishi Watanzania? Haya majengo sio poa

    Ila kweli kuna maeneo mbweni na goba ukipita kuna mijengo ya hatari sanaa ,sijui wenzetu wanapata wapi hizi pesa wakati wengine vinyumba vidogo vinatuendesha sana kuvimaliza
  7. baiser

    Rais Samia: Ili kudhibiti rushwa barabarani, trafiki waondoke barabarani, kamera na taa ndio zifanye kazi

    Nilishawahi kuanzisha uzi wa namna hii baada ya kutembelea Rwanda ,ama hakika namshukuru raisi kwa kuliona hili ,zifungwe camera nadhani ajali zitapungua maana ukimulikwa tu faini inatumwa automatically
  8. baiser

    Ofisi za Sao hill Tegeta hadi Bunju

    Kweli bei zao sio za kispoti Mbao za 1.4M Buguruni , Sao hill ilikuwa inafika 5.7 M kwa idadi ile ile na vipimo
  9. baiser

    Kama hujawahi kufika jiji la Tanga, basi haya ndio mambo yanayopatikana huko

    Uko sawa kabisa nimekaaa miaka 2 mjini Tanga nikiwa mwanafunzi wa A level ni sehemu tulivu sanaa naahidi nitarudi ni takriban miaka 14 sijafika tena
  10. baiser

    Hili jambo limenipa utata kuhusu bima ya NHIF.

    Hivi karibuni kuna baadhi ya dawa na baadhi ya vifaa vya kutolea huduma vimeondolewa kwenye bima ya NHIF Sasa leo mtoto alipelekwa hospitali katika kuangaliwa ilibidi apewe dawa ya kushusha joto mwilini Dawa hiyo inatolewa kwa njia ya mishipa ya damu ( I.V) cha kushangaza tumeambiwa I.V...
  11. baiser

    Jirani yangu anajenga ghorofa, ananipa mawazo sana

    Hahaha aisee noma sana mie nimejenga sehemu ambayo ndio naonekana mchomvu ,kifupi majirani zangu wameshusha mijengo ya maana mixer ghorofa lakini kwangu naona ni bora zaidi nipo kati kati yao kuliko Uswahili ,
  12. baiser

    Nilidhani mabinti wa dukani wanafanana, najuta kumpoteza binti aliekuwa ananifanya niagize mzigo kila wiki, nimebadili wawili ila biashara inasua

    Aisee ni kweli tuliwahi fungua biashara na jamaangu tukamuweka mdada ambae hana taaluma ya fani hiyo ilaa unaozoefu tu alikuwa akiuza mnooo
  13. baiser

    Profesor huyu alikuwa SUA Morogoro sasa ni mtu mzito Rwanda

    Ni kweli amefariki aiseeee ,apumzike kwa amani
  14. baiser

    Je, mwanamke anapomaliza hedhi tu anafaa kuingiliwa?

    Sio wewe tu hata mimi sipendi
  15. baiser

    Naibu Spika Zungu: Bodaboda wanakatisha tamaa, wasimamishwe

    Nendeni Rwanda tu hapo mkaone bodaboda wanavyofuata sheria ,mavazi yao ,kofia zao n.k ni suala la lazima sio ombi kutii sheria Nilipanda bodaboda katikati ya mjii lakini nilijihis salama zaidi kuliko hata ningekuwa mkoani vijini nchini kwetu
Back
Top Bottom