Ameandika ujinga tu huyu mwenzetu ,wee unaona sawa wao waje wanunue ardhi na wamejazana kila mahara lakini sie tusiwe huru kununua ardhi kwao ?yaani na sawa na mtu awe anakula kwenu kila siku ila wewe ukitaka kwenda kula kwao hataki ,sasa si ungese huo
Ni kweli huu ni muungano gani ? Kwanini kusiwe na raisi mmoja tu na nchi ibaki Tanzania ? Fikra zao wao ziliishia kufanya hayo lakini sisi inabidi tubadili hayo tubaki na Tanzania
Leo tumezika kijana ana miaka kati ya 33-37 kwa kufeli figo ,Wakati tukifundisha saving tusisahau kuishi
Mie nilipothibitishwa tu kazini nikazama benki kuchukua changu kabisa na sijawahi kujuta sababu hela ilinisaidia kumaliza ujenzi na kununua mashamba
Ila kweli kuna maeneo mbweni na goba ukipita kuna mijengo ya hatari sanaa ,sijui wenzetu wanapata wapi hizi pesa wakati wengine vinyumba vidogo vinatuendesha sana kuvimaliza
Nilishawahi kuanzisha uzi wa namna hii baada ya kutembelea Rwanda ,ama hakika namshukuru raisi kwa kuliona hili ,zifungwe camera nadhani ajali zitapungua maana ukimulikwa tu faini inatumwa automatically
Hivi karibuni kuna baadhi ya dawa na baadhi ya vifaa vya kutolea huduma vimeondolewa kwenye bima ya NHIF
Sasa leo mtoto alipelekwa hospitali katika kuangaliwa ilibidi apewe dawa ya kushusha joto mwilini
Dawa hiyo inatolewa kwa njia ya mishipa ya damu ( I.V) cha kushangaza tumeambiwa I.V...
Hahaha aisee noma sana mie nimejenga sehemu ambayo ndio naonekana mchomvu ,kifupi majirani zangu wameshusha mijengo ya maana mixer ghorofa lakini kwangu naona ni bora zaidi nipo kati kati yao kuliko Uswahili ,
Nendeni Rwanda tu hapo mkaone bodaboda wanavyofuata sheria ,mavazi yao ,kofia zao n.k ni suala la lazima sio ombi kutii sheria
Nilipanda bodaboda katikati ya mjii lakini nilijihis salama zaidi kuliko hata ningekuwa mkoani vijini nchini kwetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.