Recent content by baiser

  1. baiser

    Njia ntakayotumia kuboresha maeneo kama Magomeni, Mburahati, Kigogo, Mabibo, Manzeshe, Kinondoni, Mwananyamala, Kijitonyama, Sinza, Ilala, Keko n.k

    Hapo ni kufukuza wote na kuwajengea nyumba nje ya mji wakaishi ,serikali ijenge maduka na maofisi yakodishwe wao watapata 1% ya mapato kila mwezi
  2. baiser

    DOKEZO Kijana Enock Thomas Mhangwaock adaiwa kuuawa kikatili Msituni kwa kipigo kutoka kwa Watendaji wa vijiji vya Uyovu na Lyobahika

    Aisee hii sio sawaa wenye mawasiliano na Dr gwajima wamtumie hii pamoja na mkuu wa jeshi la polisi ili haki itendeke
  3. baiser

    Msukuma anautaka ubunge kwa mara nyingine, atua ofisi za CCM kuchukua fomu

    Wanasema ubunge hauna pesa ila wao wanautaka 😂 😂 😂
  4. baiser

    Ujasusi : Mwanadada Catherine Perez alivyobadili Dini na kuwa karibu na Viongozi huku akiipeleleza Iran kwa niaba ya Mossad

    Huwa nawaza sana kibongo bongo kweli hakuna ma spy hapa wanafuatilia
  5. baiser

    Nafikiria kuanza ujenzi, naomba ushauri

    Hata mbwa huwa huwa anampigia magoti anayempa chakula na kumbwekea asiyempa
  6. baiser

    Nafikiria kuanza ujenzi, naomba ushauri

    Una kipato kizuri sana hapo jitahidi kila mwezi laki 5 iende kwenye ujenzi mdogo mdogo unatoboa au chukua mkopo benki wa miaka sio zaidi ya mitatu ujenge
  7. baiser

    Naomba ushauri kuhusu biashara Spare za Pikipiki

    Hii biashara naona ni nzuri ,mimi nataka nijipe mwaka mmoja wa kujifunza ufundi kwanza ndio niingize mtaji na Imani ukiwa na wewe ni fundi ni rahisi kupata fundi wa kushinda nae mkagawana riziki Je kwa mda wa mwaka mmoja nitakuwa sijajua kutengeneza pikikpik kweli ?
  8. baiser

    PICHA Achana na magorofa machache city centre hii ndiyo DAR halisi.

    Jitahidi pamoja na kujenga nyumba nzuri mkoani Basi dar uwe hata na nyumba ya chumba na sebule ,kumbuka muhimbili ipo dar ,uwanja wa taifa upo dar ,UDSM ipo dar ,mwendokasi upo dar kidimbwi na kitambaa cheupe zipo dar ,na mwamposa pia yupo dar Yaan dar ndio kila kitu
  9. baiser

    Nimeamua kuanzisha kilimo cha Korosho Manyoni - Singida

    Lima mkuu naomba nikutie moyo mie Niko kusini huku nimepanda ekari saba tu huu mwaka wa tatu napiga jembe mwenyewe baada ya kutoka kazini ,sina nguvu kama wewe lakini inshallah nataka niongeze ekari 3 mwaka huu ziwe kumi ,huu ni mradi wangu nimeamua kuanza nao kama mpango wa kustaafu kwani Bado...
  10. baiser

    Mama awashinda watoto wake Kesi ya Mirathi ya Nyumba Kariakoo

    Yaani watoto wanashitakiana na mama yao ,hivi hao wangese wanajielewa kwelii
  11. baiser

    Mfumo wa Uhamisho wa Kidigitali Serikalini uruhusu wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mfumo wa hovyo sanaa huo ,ni bora turudi tulikokuwa tu ,watu hawaoni maombi kwenye mfumo na kutoa majibu
  12. baiser

    Dawa ya mseto ya kutibu malaria ipigwe marufuku kama ilivyokuwa kwa chloroquine

    Hiyo dawa za mseto mie nilitumia tumbo likavimba kama kitenesei nikawa nashindwa mpaka kupumua ikabidi niende hospitali nikachomwa sindano ya kupunguza tumbo kujaa ,mpaka leo nikiumwa malari natumia artequick
  13. baiser

    Tani 2.2 za dawa za kulevya zakamatwa Tanga na Dar Es Salaam

    Duuh aisee watu wanajilipua na vitu haramu
  14. baiser

    Tunaomiliki salon za kiume Tukutane hapa tuambizane namna ya kuziinua zaidi

    Kikubwa ni kufunga CCTV camera pale ili kila kichwa kinarekodiwa na mapato mnagawana kwa asilimia kama kunyoa ni buku jero yake jero ya ofisi ni buku hapo lazima kazi ifanyike
Back
Top Bottom