Recent content by bailamos

  1. bailamos

    Kuwa na mpenzi asiekubali kuachana

    kuna uhusiano ulinifanya niwe hivyo.Sasa hivi najiona mjinga sana, though hivyo vielement havijanitoka vizuri bt najua kuvitumia.
  2. bailamos

    Laana inayoitafuta familia/ukoo wa Gwajima

    Ukiweka ushabiki pembeni,ukayazuia masikio yako yasitake kusikia yale unayopenda,ukajiweka kama kondoo utaona alichokosea mchungaji.Siko hapa kumsema...Ila laana zipo kweli..huwa tunarithi kizazi na kizazi...
  3. bailamos

    Laana inayoitafuta familia/ukoo wa Gwajima

    Mungu huwa haondoi karama ya mtu huondoa utukufu wake kwa mtu!!Karama ni zawadi...Mungu amemtunuku karama hiyo ya kichungaji..lakini haimaanishi kwamba hakosei!!!Siyo wote waniitao bwana bwana wataingia mbinguni!!Rejea Sauli mfalme wa kwanza wa israel alipoasi yale aliyomuelekeza Mungu...Neno...
  4. bailamos

    Laana inayoitafuta familia/ukoo wa Gwajima

    ilimpasa Gwajima kama mtumishi wa Mungu anyamaze kwenye malumbano kama hay yasiyo na tija.Mungu anapendezwa na unyenyekevu,Yeye ilibidi awe mfano kwente ukoo wake sawa na neno linalosema misingi ikiharibika mwenye haki atafanya nini?
  5. bailamos

    Too late akina dada, kumnyima utamu anayehakikisha kukuoa kisa walikutumia wakakuacha

    Nasisitiza wanawake endeleeni kubana...ukiachia iwe genye zimekubana sna!!Hakuna kutoa papuchi.Tena wote mkibana akili zitawakaa sawa...tutafungua viwonder vyetu vya Sabuni Adabu hawana hawa!!!
  6. bailamos

    Sina bahati ya kupata mwanaume mwenye kipato, tatizo ni nini?

    Kwanza nataka nilusisitizie kuhusu muonekano wako kwa waliochangia unaonekana kimaskini...usije pata tamaa ukaanza vaaa na kufanya vitu juu ya kipato chako utaongeza umaskini zaidi. Vaa smart....kuwa msafi basi...atakayekupenda amekupenda..Pia kama unaishi uswazi kama Tandika hiyo kawaida...
  7. bailamos

    So this is how flirting really works?

    ukiupenda mchezo huo lazima ujue unafrilt kwa sababu gani? Kwa funny haitakiwi kuvuka mipaka!!!Sema umekutana na anayejua hako kamchezo kisawa sawa.Jipe muda huwa inaisha!!!
  8. bailamos

    Vyeti vya Makonda: Ni Siasa za Woga na Hofu ya Ukali wa Sizonje?

    Toka kutajwa kwa wa watumiaji na wauzaji wa madawa ya kulevya kumeibua mambo mengi ikiwemo hili la sasa la vyeti vya mkuu wa mkoa wa Dar es salaam. Kuna wengine wanasema ni vita kati ya wanufaika au wauzaji wa madawa ya kulevya na Mkuu wa mko wa Dar es salaam(Paul Makonda).Inawezekana ikawa...
  9. bailamos

    Umewahi kukutana na swali hili kwa mpenzi wako, "eti wewe ni kabila gani?"

    Mtu hakimbii asili.Kuulizana kabila jambo muhimu kwangu na kwa mtazamo wangu.Asili za watu zimejaa mambo mengi ni lazima kujua kabla hamjawa kitu kimoja. Vijana usasa si kila mahali.
  10. bailamos

    Umewahi kukutana na swali hili kwa mpenzi wako, "eti wewe ni kabila gani?"

    Mtu hakimbii asili.Kuulizana kabila jambo muhimu kwangu na kwa mtazamo wangu.Asili za wath zimejaa mambo mengi ni lazima kujua kabla hamjawa kitu kimoja. Vijana usasa si kila mahali.
  11. bailamos

    Sijui ananipenda huyu!

    hakupendi..she is jus game flirtatious gal
  12. bailamos

    Kwanini wanawake wakishikwa maziwa yanakuwa makubwa lakini wakishikwa makalio hayawi makubwa?

    Umefanya utafiti wapi?,Kwa wanawake wangapi?Naomba Literature review ya vitabu ulivyosoma vinavyoonyesha hayo.
  13. bailamos

    Msaada: Siridhiki kufanya mapenzi

    Kiimani una roho ambayo inayokusumbua kufanya hivyo..roho ovu yenye dhambi kwani unachotaka kufanya haufanyi bali wafanya usichokipenda. "Idle mind is devil workshop"Weka Mind yako busy kufikiri vitu vya maana itakupelekea kufanya vitu vya maana.Ukiweka mwili busy huku mind yako imejaaa kuwaza...
  14. bailamos

    Kukosana na mama au baba mzazi ni Janga jipya kwenye jamii. Tulifanyie utafiti. Tusikurupuke

    Hayo mambo yapo toka zamani sema yanaonekana dhahiri kutokana na utandawazi. Ugomvi wa sasa kati ya wazazi unasababishwa na mvutano kati ya ukale na usasa.Wazazi hawataki kuwa na mahusiano ya kirafiki na watoto huku watoto wakitaka kuwa na mahusiano ya kirafiki na wazazi.Wazazi wanapokosolewa...
Back
Top Bottom