Mkuu wa mkoa ametoa agizo mpk kufikia tarehe 15.11.2019 taa zote za barabarani ziwe zinafanya kazi.
Agizo hilo alilitoa mwanzo wa mwezi huu wa 11..ila mpk sasa sioni dalili zozote za marekebisho ya hizo taa..ngoja tuone hiyo tarehe 15 nov...mkuu wa mkoa mongella atachukua hatua gani kama hizi...
Unataka tuzipande wakati nauli ya dar mwanza ni zaid ya shs 300000...wakati fastjet nimetoka kukata sasa hv...ni 120800...nipande atc nipate hasara ya, zaid ya shs laki 2 za zaidi???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.