Recent content by bahla

  1. B

    Ni basi gani zuri la Dar - Mwanza ambayo hailali Morogoro, huduma nzuri na luxury?

    Bus no moja kea nioa Bus no 1 kwa njia ya dar mwanza kwa sasa ni ALLYS SAA 5 KAMILI UPO MWANZA USIKU
  2. B

    NIDA wameandika mimi ni Female wakati mimi ni Male

    Umevunja mbavu zangu zoote kwa kicheko
  3. B

    TRA kuweni makini, Wasafi Festival

    Mkuu upo sawa 10000 vat yake ni 1800...kwa sisi tunaofanya biashara tunajua
  4. B

    Aibu kwa jiji la Mwanza

    Mkuu wa mkoa ametoa agizo mpk kufikia tarehe 15.11.2019 taa zote za barabarani ziwe zinafanya kazi. Agizo hilo alilitoa mwanzo wa mwezi huu wa 11..ila mpk sasa sioni dalili zozote za marekebisho ya hizo taa..ngoja tuone hiyo tarehe 15 nov...mkuu wa mkoa mongella atachukua hatua gani kama hizi...
  5. B

    Mwanaume kurudi nyumbani saa 2 usiku ni ushamba na utoto

    Baba ndio nyumba na nyumba ni baba
  6. B

    Mwanaume kurudi nyumbani saa 2 usiku ni ushamba na utoto

    Hakika..familia inamuhitajiababa
  7. B

    Watumishi wa umma sasa kwisha

    Mimi naona ni bora anavyotaka kufanya mh.raisi yuko sawa
  8. B

    Kwani lazima mvae hizi chupi?

    Daaah..umenichekesha mpk baaassss...mbavu zangu mmmm
  9. B

    Kumbe Bombardier ni maumivu kwa Mtanzania kiasi hiki!? Bunge lagundua...

    Unataka tuzipande wakati nauli ya dar mwanza ni zaid ya shs 300000...wakati fastjet nimetoka kukata sasa hv...ni 120800...nipande atc nipate hasara ya, zaid ya shs laki 2 za zaidi???
  10. B

    Kocha yupi ni bora kwa sasa Duniani?

    Wenga[emoji2]
Back
Top Bottom