Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,590
- 22,200
Achana nao usipoteze muda wako bure kwani kupata kingine itakuchukua hadi mwezi wa kumi, nakushauri badilisha mavazi tu uvae ya kike mambo yaishe.Wana JF baada ya kuhangaika kutafuta kitambulisho cha Taifa hatimaye leo nimefanikiwa kupata copy ya kitambulisho.
Baada ya kufika nyumbani na kuanza kuangalia copy hiyo kwenye sehemu ya Jinsi/ Sex nikakuta wameandika F badala ya M.
Nikiwafuata nitarekebishiwa au hadi nianze kujaza fomu ili nipate kingine.
Maoni yenu kwa wenye ufahamu wa hilo.