Dada yangu we bado mdogo sana utaolewa tu, kuna watu wanaolewa mpaka na mika 40, ni kutulia na kujiheshimu na watu wakijua kua uko desparate na kuolewa watakufanyia uhuni. Omba Mungu wa kwako yupo mahali ni kutulia na kujiheshimu
Ni shetani anakuwa amewakalia kooni ni kuwafanya wajione hawana thamani tena ya kuishi kwa kitu walichotendewa. Na pia ni kutokukubali hali iliyokutokea na kubaki kujiuliza kwanini isiyo na jibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.