Mbunge wangu godbless lema watu wa arusha wanakushukuru cna kwa ujasiri uliowapa watu wa arusha wewe ndyo rais wetu wa arusha hatutaki maendeleo yeyote ujasiri uliotupa ni zaidi ya maendeleo maendeleo sio vitu maendeleo ni kujua haki yako ya msingi na tunakupenda cna tunakuombea kesho nanguruma...
Ni hivi tutajua hyo ijumaa wamasai wamekuwa a.t.m ya ccm mdyo maana ccm imewanyima elimu ili iwatawale rais kweli amekosa mtu wa kumleta arusha anatuletea mtu anaye aribu amani arusha anafanya siasa mpaka kwenye maendeleo ya jamii sijawahi ona mtukama huyu kbsa hawamuezi lema daima huyu ni...
Kweli ccm wamefulia kisera kwa kila kitu yaani wanaziba maeneo ya wazi kufanya mikutano chadema iko ndani ya mioyo ya watu sio kundi lawatu ebana kumbe hii nyomi inawaumizaga hawa magamba piganieni haki mpendwe kama chadema kweli mmefilisika kimawazo kifikra kweli nimeamini ccm arusha.mjini wako...
Ndugu zangu wa JF huo niuongo mkubwa cna Mbowe hajaenda ikulu mboe tuko nae hai moshi huyo mtu ameamua wafuraisha walio nuna CHADEMA sio chama cha matumbo elewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.