naumbu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 4,717
- 8,090
Amesema katiba itafanya shule na hospitali zifungwe kwani wafanyakazi watalazimika kuomba upya kazi........,jamani huyo ndo mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi,daah kichefu chefu.....
Mshauri wake mzee wa ma bebs wa ukweli kama vipi boss wako amechemka you know,le mutuz straight talk na mburulaz hapo inabid itumike