Upinzani watashinda,matokeo ya urais 2010 waliojiandisha kupiga kura walikuwa 20,137,303 waliopiga kura 8,393,394.kura walizopata upinzani 4,121,577,ccm kura 5,276,827 tofauti ni kura 1,155,250,ambao hawakupiga kura 11,511,020 hatujui sababu ya kutopiga kura kama kweli UKAWA wataungana ccm...