Mm nadhani jaji amekosea kuomba msamaha katika mazingira ya wakati huo. Maana hakuwa na sababu ya kufanya hivyo kwa Kingai.
Ambaye alikuwa amebanwa kwa maswali na alishapanik . Jaji yupo kwa kuangalia mizani iko sawa muda wote kitendo chake kwa mazingira ya wakat huo amekosea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.