Recent content by bagi

  1. B

    JamiiForums Tanzania Fadlu hatomaliza miezi 6 pale Raja Casablanca

    Kocha wa kawaida
  2. B

    JamiiForums Tanzania Mtazamo binafsi: Hatua anazopitia mwanamke baada ya kuachika kwenye ndoa yake

    Wale wa miwani kwenye Komwe huwa wanajiona wao ndo kila kitu.
  3. B

    JamiiForums Tanzania Kigwangalla aongea kwa uchungu na huruma kuwa amekimbiwa na marafiki baada ya kupoteza Ubunge na Uwaziri. Alengwa na machozi

    Shida ya kigwangala huwa anapenda sana publicity na huwa namuona kama hayuko matured .
  4. B

    JamiiForums Tanzania FBI walivyobaini utapeli na ugaidi wa Nabii Rashnishi toka India

    Nice story Ila sheria nazo,mtu anafanya yote hayo na bado mahakama inasema ushahidi autoshi.
  5. B

    JamiiForums Tanzania Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoa wa Tanga, Michael Haule ajiuzulu, adai chama kupoteza mwelekeo

    Kumbe alikuwa katibu wa Chadema na Katibu wa Kanisa RC Muheza. Sasa a focus na mambo ya kanisa Muheza.
  6. B

    JamiiForums Tanzania Alex Mkama Apandishwa Cheo Kuwa Kamishna wa Polisi, Ateuliwa Kuongoza Polisi Jamii

    Hongera kwako Kamishina Mkama.
  7. B

    JamiiForums Tanzania Kufilisika kwa Sahara Media: Kodi kubwa za TRA zinaua Biashara au ni Usimamizi Mbovu wa kina Diallo?

    Kila media wanayo hiyo. Mambo tight sana kwa media zote Ubunifu mkubwa unaitajika.
  8. B

    JamiiForums Tanzania Dr Hussein Bashe MP (PhD) Waziri Mkuu ajae

    Fafanua vizur.
  9. B

    JamiiForums Tanzania Kapteni Tesha alipotelea wapi?

    Hii story itakuja lini.
  10. B

    JamiiForums Tanzania Hivi wakubwa bado kuna nyumba wanatumia ving'amuzi badala ya streaming kwa kutumia internet kwenye TV?

    Madishi uyaoni au ndo ushamba wa kusini.
  11. B

    JamiiForums Tanzania Niambie sentensi moja kwenye mapenzi ambayo ukiiskia unasema hili ni penzi jipya

    Ukisikia "Take care baby " Wiki haiishi kuna tukio.
  12. B

    JamiiForums Tanzania Nilishawahi kuumbuka kwa mwanamke nisiemjua vizuri ila kwa sasa ndie mke wangu

    Hongera but ndoa sio straight hvyo uwazavyo mbelen kuna kona kona nyingi
Back
Top Bottom