Fadlu hatomaliza miezi 6 pale Raja Casablanca

Fadlu hatomaliza miezi 6 pale Raja Casablanca

... keshatimuliwa ! Hata alipokuwa Simba alikuwa ni mbabaishaji na mtu mjanja mjanja tu. Mafanikio ya Simba kwenye ligi kuu yalisababishwa na makosa ya marefa, na yale ya confederation yalisababishwa na kuwako kwa timu dhaifu sana katika ligi hiyo mwaka huo
 
Daaa kazi sana Nabi sasa...tusubiri msimu mpya wa ligi
 
Anaitwa Fadrullahaman.
Muislamu safi.
Akili kisoda.

ALIWASALITI SIMBA KIPINDI KIGUMU SANA.
 
Back
Top Bottom