Jamani wakuu naomba kuuliza kwenye suala la vetting ajira mpya mimi taarifa zangu sehemu ya kuzaliwa kwenye NIDA na Cheti cha kuzaliwa zinatofautiana vipi haiwezi kuwa shida??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.