Recent content by Bafay

  1. B

    VIDEO: Lowassa awataka Walutheri wampe Kura nyingi awe Rais wa kwanza Mlutheri

    Kwa Mapadri Kama Gwajima Kujiingiza Kwenye Siasa Hamna Shida Ila Mashehe Na Wanasiasa Wao Wakiislamu Wakijaribu Tu Wanaozea Jela Kama Ponda Na Uamsho. Naanza Kuamini Maneno Ya Al Marhum Shehe Ilunga Kuwa Tz Kuna Mfumo +
  2. B

    VIDEO: Lowassa awataka Walutheri wampe Kura nyingi awe Rais wa kwanza Mlutheri

    Tuombe tu Mungu atuepushe na viongozi wa aina hii. usihofu Ye Hawezi Kuwa Rais. Chama Chao Kilipata Nguvu Kwa Kueneza Propaganda Za Udini Dhidi Ya Jk. Kwa Vile Ajae Ni Mkatoliki Ugomvi Wao Umeisha Ndo Maana Hawakutaka Kugombea Urais Bali Walikopea Wagombea Toka Vyama Hasimu Kwao...
  3. B

    Dr. Slaa, Ulikataa ushauri wangu wa awali, sasa nakupa huu

    Mi Simhurumii Padre Slaa Sabu Anachofanya Anakijua, Huruma Yangu Ni Kwa Mamvi Sababu Majority Hatuna Imani Nae. Mtajitahidi Kumpaka Rangi Lakini Never Hazitatimia Kura Zake
  4. B

    Tundu Lissu aponda safari ya Lowassa ya Matumaini adai ni safari ya matumizi

    Hatujalala Bado Kwa Lowasa Kuwa Rais Labda Nywele Zake Zibadilike Rangi. Nawapongeza Waliomtosa Wanafahamu Watz Tunataka Nini. Oct 26 ni siku ya maandamano kupinga ushind wa tsunami wa magufuli make ndo wanachoweza
  5. B

    Madiwani watatu Meru wajiunga CHADEMA

    Madiwani wote wa CCM toka Halmashauri ya Meru Mkoani Arusha wote wamehamia CHADEMA Mbuyu unapondeka kwakakasi sana CCM kwishenei kwishenei. Muda huu Madiwani hao wamehamia CHADEMA KWANI HUKO KWENU BARAZA LA MADIWANI HALIJAVUNJWA? CKU HZ HATUNA DIWANI BALI TUNA WAGOMBEA UDIWANI. NDO MAANA...
  6. B

    Ratiba ya Kumtambulisha Lowassa kwa wananchi

    Lipumba anasitahili kuwa profesa, binafsi nilikuwa na imani kubwa kwa viongozi wa upinzani waliokubali kuteseka na kusamehe posho kwa ajili ya kuwasemea wananchi kwenye bunge la katiba. Tunayataka mabadiliko ila sio kwa watu kuvua shati la kijani leo kesho kujifanya ukawa eeee
  7. B

    Dr. Slaa amkaanga Lowassa, adai hana hadhi ya kuomba Kura za Wananchi

    kuna jamaa alikua anasema huyu dr alikua padri akatimuliwa kwa kushindwa kutekeleza amri ya 6 je nikweli?
  8. B

    Katibu mwenezi wa CCM Wilaya ya Longido, ahamia CHADEMA

    wanahamia chadema kufuata kitu gani kwani huko watampitisha luwasa kugombea uraisi?
  9. B

    Chuo Kikuu DSM watoa Ripoti Mbio za Urais 2015 "Mwigulu anaongoza"

    Watajifungia Ndani Sasa Na Aibu Yao
  10. B

    Tunahitaji laana sasa ili Tanzania iendelee

    Nakushauri Muhame Pamoja Na Mgombea Wenu Muende Burundi Mutaikuta Laana Munayoitaka
  11. B

    Star TV, UKAWA wapo Millenium Tower Live

    Kwani Ukawa Ndo Chadema? Nijibuni Make Mi Ni Mgeni Kwenye Nnji Hii
  12. B

    Dk. Slaa afika msibani kwa Sheikh Simba mchana huu

    Hv Unaposema Msibani Una Maana Ipi Sabu Hapo Siuoni Msiba Zaidi Ya Watafuta Sifa Wamekusanyana Kuuza Sura Zao Kama Dua Si Wafanye Msikitini Au Majumbani Mwao?
  13. B

    Bomu la IMTU limeshalipuka, bado la UDOM!

    Hongera Dr Kikwete Kwa Kuwakomboa Watz Kupitia Udom, Sioni Chuo Cha Kukifananisha Hapa Bongo Waache Wasojua Kulinganisha Mambo Wapige Kelele Ila Utamu Wa Ngoma Ingia Ucheze
  14. B

    Hili limeshakuwa tatizo: Dola sasa ni zaidi ya TZS 2,350/= Kikwete, Ndulu, Wizara wapo kimya!

    ikishuka au ikipanda we chako nini? nahisi kuna umbea sabu zipo fedha zina thaman kubwa kuliko dola wala huzioni why usd? ukoloni wa fikra
Back
Top Bottom